Mpuuzi huyo kikongwe anasema sharifa hana mbele wala nyuma hivi anaujua uko wa tambaza kweli wanahela kuliko izo alizopewa na domo mpuuzi mmojaBibi ana jinasibu ana watoto ma super star wanatingisha jiji. Bi Sandra taratibu basi.
Mchawi elimuHuyo mama wampe mkoa awe RC... anafosi ubinti wakati maji ya jioni.
[emoji23][emoji23][emoji23]nan bi sandra auBora lkn awe Ganda la ndizi
Huyu jamaa ashanasaga kule kwa ayatollah
Alikuwaga msafiri zamani
Ni rafiki sana wa mchz wngu mmja wote wazee wa kitonga
Kuna siku tulikuwa sehemu mitaa ya American chips jamaa alipita na alphard wakati tunasalimiana na jamaa
Mai akatutambulisha akasema hyu ndy shemeji yenu "nkamslimia bim dashi shikamooo nkaonaaaa kimyaaa hajibuu "[emoji23]
Ila jamaa kauzu
Ova
Mange Kasemaje kuhusu Bi Mdashi Sandra?Mange kamkalia kooni Bibi Sandra hahaha mjini hatuhami jamani hata ukiwa na stress unajikuta zimeisha
Hv huwa inasababishwa na nn hiyo?Na hili ni tatizo kwa 80% ya wanawake
Wanakazania kuwekeza kwenye nywele na kucha tu
Walikudanganya mkuu Tambaza ni jina la Ukoo ambao ulimiliki yale mashamba na makaburi yao yapo pale njia ya kuelekea MuhimbiliNimesoma pale ile shule kirefu chake ni TAZAMA MBALI ZAIDI
Ni kweli kabisa. Pale ulipo msikiti wa Tambaza nyuma kuna nyumba ya Mzee Tambaza. Haijawahi kuvunjwa wala kuuzwa. Ni kumbukumbu ya familia.Tambaza ni ukoo ndugu...tafuta majina ya wazee waliokua bega kwa bega na mwalim kutafuta uhuru...utakutana na hilo jina
Ndiyo lilikuwa eneo lake mpaka Slender bridge.Pale penye shule ya Tambaza napo palikua shamba!! Kumbe