Makala josee
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 511
- 447
Aliyekuwa Naibu Waziri kwenye serikali ya Dk Ali Mohamed Shein, Bi Zahra Ali Hamad, amesema kushindwa kuendelea kwa Zanzibar kunatokana na dhulma ambazo zimetendwa na rais anayemaliza muda wake, Dk Shein. Hayo ameyasema katika mkutano wa hadhara jimbo la Amani leo.
========
Kwakweli nimependa namna ya uwasilishaji wake na Kwa hakika huyu ni mama
========
Kwakweli nimependa namna ya uwasilishaji wake na Kwa hakika huyu ni mama