Zanzibar 2020 Bi Zahla Ali Hamad: Sababu ya kutoendelea Zanzibar ni udhalimu

Huyu Shein hakushinda Uchaguzi ule.

Ni Dhulma zilifanyika dhidi ya Maalim Seif na chama chake.

Safari hii ushenzi ule usijirudie tena .

Sanduku la Kura ni vizuri kuheshimiwa.
Lakini mbona dalili zimekuwa mbaya mapema kuliko hata uchaguzi uliopita.Safari inaonekana ni uhuni uliopitiliza. Maalim asikaate tamaa lakini iliyobaki ni rehma ya Mungu na kwake hakuna kubwa wala lisilowezekan.Hawa wenye nia mbaya wanaweza kutiwa msukomsuko ambao hawakuwahi kuufikiria.
 

Mama ametoa hotuba nzuri yenye hisia
 
Sheria gani hiyo watu hawashtakiwi tu? Nipe sheria iliyotumika kuwaleta huku bara na si kushtakiwa kulekule kwao?
Wewe mbona uko huku bara na si kwenu zanzibar!? Kwa sheria ipi
 
Natamani sana Zbar iwe sehemu rasmi ya Tanzania.Tuache unafiki sisi ni ndugu, tuachane na mipaka wakoloni.
Yaaaaaaani hawa wazanzibar wawe sehemu ya!?, Wao wapenda chetu kiwe chao lakini chao kiwe chao
 
Dharau hizi+ makengeza+ ubaguzi: yaani aliyepo madarakani hawezi kuleta maendeleo bali ndugu yako ndo anaweza!?. Maendeleo yepi hayo!?
 
Dharau hizi+ makengeza+ ubaguzi: yaani aliyepo madarakani hawezi kuleta maendeleo bali ndugu yako ndo anaweza!?. Maendeleo yepi hayo!?
Toka kwenye nyumba ya kupanga Kwanza ndio uwe na jeuri
 
Kumbe ni mtoto haya nenda kanisani ukirudi umuombe Baba zawadi
Labda unamzungumzia mjukuu wangu japo anakuzidi uelewa. Ukitoka madrasa kaa chini utafakari mahitaji yako ni yepi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…