Bia bei juu

Bia bei juu

Bei ya Bia cku zote haitofautiana saaana na Bei ya Mafuta lkn kwa sasa imeipiku, Wadau nashauri tuwe na Ewura yetu...
 
Mkuu ni maji ya kunywa ya chupa! Najaribu kulinganisha bei ya maji na maziwa! Kipi kilitakiwa kuwa na bei kubwa?? Au kwa sababu maji yanatoka kiwandani?😕

Kweli mkuu ukinywa Kilimanjaro kubwa lile ndo bei yake hiyo.
Lakini watu tunasahau kuwa maziwa ni bora.
 
Ninachokiona ni watu kuhama kutoka kwenye beer na kukimbilia kwenye pombe haramu (gongo). Assume mtu ana-maintain the same level ya beer consumption, maana yake ata-spend more matokeo yake kulaza watoto njaa. Naomba kuwakilisha.
 
Ninachokiona ni watu kuhama kutoka kwenye beer na kukimbilia kwenye pombe haramu (gongo). Assume mtu ana-maintain the same level ya beer consumption, maana yake ata-spend more matokeo yake kulaza watoto njaa. Naomba kuwakilisha.
Du Kinibu- yakhe- sijui? -pengine muwafaka.
 
Pamoja ya kuwa kupanda huku kwa bei ya kilaji inasingiziwa sana kodi lakini pia tusisahau kuwa mfumko wa bei (inflation) ni mkubwa sana. Mwaka 2008 July, mfumuko ulikuwa asilimia 9%, leo hii hata mwaka haujaisha tumesimama kwenye asilimia 13.5%. Na inasababisha kupungua kwa kipato cha mtanzania na kushindwa kumudu bei nyingi zinazopanda hasa chakula na mambo mengine ya faradhi.

Hili serikali wanalizibaziba tuu, iko siku litafumuka. Nina wasiwasi hata zile pesa za EPA walizoziingiza kwenye bajeti hazita wasaidia wakulima kama walivyoahidi bali zitafidia inflation gap ya bajeti.
 
Katika hali isiyo ya kawaida makampuni ya bia nchini yamejipandishia bei za bia kienyeji bila kuwataarifu wateja wao.Hali hii imetokea kuanzia jumapili tr 08 feb 2009.
Tumezoea kunywa kwa mfano Kilimanjaro na Safari kwa sh.1200/= zimepanda mpaka 1300 na 1400 huku Castle na Serengeti tulikuwa tunakunywa kwa sh.1300/= kwa sasa imepanda mpaka 1400 na 1500.
Napenda kulalamika kwa makampuni husika kwa kupandisha bei gafla bila kuwataarifu wateja wao husika na hii imeleta kero sana kwa sisi wanywaji mpaka tukajua tunaibiwa.
Kama inawezekana tunaomba serikali iunde chombo cha kusimamia bei za bidhaa kama ilivyo kwa nyanja zingine kama kwenye mafuta na usafiri kuna EWURA.

Ukiangalia kwa undani zaidi makampuni ya pombe ndo walipaji wazuri wa kodi nchini ukilinganisha na nyanja zingine kama madini,kilimo n.k


Oooooooooops, hakuna ubishi bia duniani kote sasa ni necessary good for its price is so inelastic. for that matter it has to be regulated otherwise it will constrain households savings (marginal propensity to save) which is so crucial for investment and thus raise the standard of living. Strictly, speaking, on the other hand, escalating prices have worse impact especial to very low income households as they will switch to local spirits (gongo) which is terribly bad. The government should look at this careful alcohol is no longer luxury or normal good but rather necessary good!!!!!!!
 
Au tuachane na bia????!!!!🙄

Hapa naona sasa Gongo itapata wateja sana.
Hata ile pombe inayotoka Kilimanjaro inaitwa Banana sasa ndo wakati wa kukimbilia huko.
 
Hapa naona sasa Gongo itapata wateja sana.
Hata ile pombe inayotoka Kilimanjaro inaitwa Banana sasa ndo wakati wa kukimbilia huko.

Kuna haja ya kufanyia utafiti hata namna ya kuuweka vizuri Ulanzi (from IR) na Mnazi bila kusahau Ugimbi as well, kama hali itakuwa hivi!
 
mie nakumbuka ilikuwa ni tarehe 7,tupo bar tunapata kilaji tumemaliza tunataka bill tunashangaa tusker 1400, haa kuuliza oohh tumeambiwa na boss leo bia zimepanda bei, nikamuuliza muhudumu mbona hukusema kabla sasa kama hapa hatuna hizo 200 za cha juu itakuwaje?kweli wametumaliza.
 
Back
Top Bottom