Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Hebu tupeane uzoefu hapa kwenye hizi beer,
Maana lugha zimekuwa nyingi sana kitaa,
Mara hizi hazina wanga sana, zile hupati kisukar mara hata ukiwa na kisukari unakunywa, nyingine sinaleta kitambi, mara sijui nguvu za kiume zinapungua mara ohhh ndo unapiga show.
Tupeane ushauri hapa ni beer gani zinafaa,
Unaweza ongezea kinywaji chochote kingine, ila sio Maji ama soda[emoji2957].
Maana lugha zimekuwa nyingi sana kitaa,
Mara hizi hazina wanga sana, zile hupati kisukar mara hata ukiwa na kisukari unakunywa, nyingine sinaleta kitambi, mara sijui nguvu za kiume zinapungua mara ohhh ndo unapiga show.
Tupeane ushauri hapa ni beer gani zinafaa,
Unaweza ongezea kinywaji chochote kingine, ila sio Maji ama soda[emoji2957].