Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
of kozz bia inasemekana zina kiasi kikubwa cha cabohydrate ambayo kimsingi si nzuri kiafya.... je wadau.... ni bia ipi hapa tz ina calories kidogo...???? Nawasilisha.
Unauliza ili iweje!!
Kunywa gongo, ina the lowest calorie value.
Umeshaona kwenye pombe kuna madhara, tena zaidi ya ulivyoeleza, sasa unatafuta pombe mbadala kwanini? Hizo pesa nunua matunda ule na familia mpate faida wote. ULEVI NOMAAA.of kozz bia inasemekana zina kiasi kikubwa cha cabohydrate ambayo kimsingi si nzuri kiafya.... je wadau.... ni bia ipi hapa tz ina calories kidogo...???? Nawasilisha.
now you r talkingKunywa mbege
Acha ujinga ndugu, jamaa ameuliza bia gani ina calories Kidogo hajauliza anywe kinywaji gani, kutokana na huu ushauri potofu ndiyo maana mimi najinywea Serengeti zangu na sitaki ushauri wowote kuhusiana na madhara wala faida ya kuinywa mimi ndiyo ninaye fahamu, na imekuwa moja ya sababu za hata mimi kujituma katika kutafuta pesaUnahangaika bure, kwani lazima unywe bia? KUNYWA MAJI.
Acha ujinga ndugu, jamaa ameuliza bia gani ina calories Kidogo hajauliza anywe kinywaji gani, kutokana na huu ushauri potofu ndiyo maana mimi najinywea Serengeti zangu na sitaki ushauri wowote kuhusiana na madhara wala faida ya kuinywa mimi ndiyo ninaye fahamu, na imekuwa moja ya sababu za hata mimi kujituma katika kutafuta pesa
thethethet! Mamitooo! Msema ukweli ni mpenzi wa mungu!o o o......hata mimi nilikuwa nataka kujua....coz bia siwezi acha na kitambi ndio kama hivi tena.....piwa siwezi kunywa....puliizi......
o o o......hata mimi nilikuwa nataka kujua....coz bia siwezi acha na kitambi ndio kama hivi tena.....piwa siwezi kunywa....puliizi......
Umeshaona kwenye pombe kuna madhara, tena zaidi ya ulivyoeleza, sasa unatafuta pombe mbadala kwanini? Hizo pesa nunua matunda ule na familia mpate faida wote. ULEVI NOMAAA.