Bia mpya kuingia sokoni, pendekeza jina.

Bia mpya kuingia sokoni, pendekeza jina.

Chuda Kashara

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2016
Posts
849
Reaction score
555
Taratibu zote zimekwishakamilika, yakiwemo maswala ya vibali na leseni.Kwanzia mwezi July mwaka huu bia ya bei nafuu itaingia sokoni kuziba pengo la viroba vilivyokatazwa.
Wajumbe wenzangu nimekuja kwenu nipate mapendekezo yenu, je ungependa tuiteje hii bia?
 
Dah...kama ukinywa inakuchanganya unakuwa hujielewi basi Itakuwa mororo ikiitwa Guhaj imer......Maana yake kuchanganyachanganya mambo kwa lugha ya kieskimo[emoji12] [emoji12]
 
tapatalk_1488873578481.jpeg
 
Back
Top Bottom