[emoji2][emoji2]Kuna jamaa pale mbagala sabasaba anaitwa Dewis yule fundi balaa! anakutengenezea kitimoto na kachumbali na pili vyote vimekatwa kiustadi kama vimekatwa na mashine. Kisha mhudumu anakuletea bia baridi inatoa machozi na jasho, acha kabisa!
Naunga mkono hoja, na uzi ufungwe sasaBora uniue lakini siwezi chagua kimoja hapo... kama nikuniua we niue tu
Nisingekuona hapa ningejinyonga mwalimu...Naunga mkono hoja, na uzi ufungwe sasa
Nipo kwenye ibada, yuno.....ππNisingekuona hapa ningejinyonga mwalimu...
Dahhhh.....Sijawahi kuipenda pombe wala kuielewa, 'hotchair' idumu milele.!
Mwalimu niache tu na sprite bariiiiidi....Dahhhh.....
Unaikosa raha pakubwa mwali...ππ
Wataalamu wanasema Kitimoto husababisha Ushoga na pombe husababisha kudhoofu kwa mwili na umaskini.
Mwalimu niache tu na sprite bariiiiidi....
Hizi ndizo hoja za msingi kwasasa, maana uchaguzi umesha kwisha...π»jamani jamani tunatiana kiuuuu da ngoja niende kwa mangi hapo nikapige nusu na ugali
Wacha weeh, ni mkojo upi huo unakojoa bibie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakojoaa
Is it Ok to be immature?Hivi ukiambiwa uchague bia na kitimoto utachagua kipi ?
Usije kusema vinaendana pamoja π€π€akili za Naantombe Mushi π€π€π€
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naunga mkono hoja, na uzi ufungwe sasa
Wala usijaribu mama, utajikuta unaanza kufuta kioo cha simu kwa kutumia tumbo badala ya hips.
Usionje kabisa..utapoteza figure yako ile ya kueleweka maana soon ukikaa utaanza kupakata kitambi kama ukionjaAhha na sitegemei kuonja kabisa
Rafiki umewahi kumuonja mdudu?[emoji23][emoji23][emoji23]Watu mna maneno!!! [emoji23]