Bia na kitimoto ipi tamu?

Bia na kitimoto ipi tamu?

Hiyo ya nyama ya nguruwe kusababisha hisia za ushoga ni ya kweli???


Nyama ya nguruwe ni Sumu inayosababisha epigenetic inapoingia katika mwili wa mtu, kwa lugha nyingine ugonjwa huo unaitwa food epigenetic kwani kuna epigenetics za aina mbalimbali.

Katika wanyama ni Nguruwe na Jamii ya nyani ndio naturally hufanya Homosexuality, ukiweka panoja madume mawili ya nguruwe licha ya kuwepo majike ni aghalabu kuyaona yakipigana "miti" , watu wanaokula sana nyama ya nguruwe aghalabu huambukizwa tabia hiyo.

Wapo Simba dume nao hupigana miti, ukichunguza mazingira yao (territory) utakuta kwamba katika eneo hilo kuna nguruwe mwitu wengi sana ambao ndio chakula kikuu cha hao simba, kimsingi ni kwamba hao simba wameambukizwa tabia ya Ushoga na hao nguruwe wanaowala, hiyo ndiyo food epigenetics.
 
Mokaze hakuna cha kupgana miti wala nn hizo n tabia za watu tu.. Fika apo moshi kijijin ukutane na ktmoto kilo 5000 Uweke na bia zako kadhaa apo ndio utajua ujui. Na taizng la kwanza ua tunaagiza kilo tatu na bia za kutosha
 
Fisi naye ameumbwa ili aliwe??, simba naye??, funza wa chooni??-- hao wote wanafaa kuliwa??

Kila kitu Mungu kaumba kwa kazi yake ni ujinga au ushenzi na tamaa za nafsi ya binadamu ndio hubadilisha matumizi ya vitu, mfano watu wanapo kaidi agizo la Mungu na kula kitimoto hushikwa na ugonjwa wa Ushoga (kubadili njia halali za kujamiana)--- hapo sasa utaona kosa moja limezaa kosa jingine (a vicious cycle).

Baadhi ya Kazi za nguruwe ni zipi??

1---Nguruwe anaweza kutumika katika kazi za kunusa kwani anao uwezo mkubwa sana wa kutambua harufu kama mbwa.

2--- Kuna baadhi ya nyuzi za operation (surgical stiches) hutengenezwa kutokana na aina fulani ya utumbo wa nguruwe.

3----katika wanyama ni nguruwe tu ambaye viungo vyake kama; Ini, moyo, figo, jicho, kongosho, mapafu nk, vinashabihiana sana na viungo vya binadamu ba hivyo tafiti zimekuwa zikifanywa ili viungo hivyo viweze kutumika kupandikizwa kwa binadamu wenye uhitaji. Hii ni ishara kwamba nyama ya nguruwe inafafanana sana na nyama ya mtu hivyo mtu anayekula nyama ya nguruwe ni karibu sana kusema amekula nyama ya mtu.

4--- Nguruwe ni miongoni mwa wanyama wanaofaa kufanyiwa tafiti mbalimbali za tiba za binadamu, wanyama wengine katika kazi hiyo ni panya buku, Pimbi nk.

5-- Nguruwe ni miongoni mwa scavengers , yaani wanyama wanaokula takataka, kwa maneno mengine nguruwe na fisi ni ndugu katika kadhia hiyo.

6---- Nguruwe anaweza kuwa kionjeo chakula (food tester) kujua kama chakula kinaweza kuliwa na binadamu na kisilete madhara.

7---- Nguruwe ni chakula cha wanyama pori kama Simba, Chui nk, hivyo analeta ecosystem balance.
Ongezea no 8. Ili aliwe na watu wachache maana utamu wa nyama yake wasingetutosha
 
Nyama ya nguruwe ni Sumu inayosababisha epigenetic inapoingia katika mwili wa mtu, kwa lugha nyingine ugonjwa huo unaitwa food epigenetic kwani kuna epigenetics za aina mbalimbali.

Katika wanyama ni Nguruwe na Jamii ya nyani ndio naturally hufanya Homosexuality, ukiweka panoja madume mawili ya nguruwe licha ya kuwepo majike ni aghalabu kuyaona yakipigana "miti" , watu wanaokula sana nyama ya nguruwe aghalabu huambukizwa tabia hiyo.

Wapo Simba dume nao hupigana miti, ukichunguza mazingira yao (territory) utakuta kwamba katika eneo hilo kuna nguruwe mwitu wengi sana ambao ndio chakula kikuu cha hao simba, kimsingi ni kwamba hao simba wameambukizwa tabia ya Ushoga na hao nguruwe wanaowala, hiyo ndiyo food epigenetics.
Waarabu, zanzibar, Tanga na sehemu zenye uislam ambako hawatumii hiyo kitu ndiko kuna tabia za kuwaingilia wanawake kinyume na maumbile ambako nakuita ni ushoga pia.

Acha kupotosha
 
Waarabu, zanzibar, Tanga na sehemu zenye uislam ambako hawatumii hiyo kitu ndiko kuna tabia za kuwaingilia wanawake kinyume na maumbile ambako nakuita ni ushoga pia.

Acha kupotosha


Na mimi sijasema kwamba mashoga wote wametokana na kula nyama ya nguruwe bali nasema mashoga wengi wametokana na kula nyama ya nguruwe.

Angalia mashoga wa Ulaya na Marekani ambao katiba za nchi zinawalinda na kuwapa haki, Mashoga wa huko kujitangaza hadharani wanaona fahari, kufunga ndoa na kuitana Mume na mke wao hawaoni aibu ni mashoga wa aina hiyo (Homosexuals) ndio ninaowazungumzia sio wale wanaofanya "liwati" kwa jinsia nyingine (Heterosexual) kwa siri ambao hao siku hizi ni wengi sana.
 
Ongezea no 8. Ili aliwe na watu wachache maana utamu wa nyama yake wasingetutosha


Ongeza no 9:- Hata wanaokula nyama za watu nao wanasema hivyo kwamba nyama ya mtu ni tamu kama kitimoto.
 
Ongeza no 9:- Hata wanaokula nyama za watu nao wanasema hivyo kwamba nyama ya mtu ni tamu kama kitimoto.
Hilo la nyama za watu sina uthibisho nalo. Tunazungumzia mdudu hapa yule wa kuliwa na watu wachache sana
 
Yaaan hapo sawa sawa unauliza wali na maharage yapi matamu
 
Hilo la nyama za watu sina uthibisho nalo. Tunazungumzia mdudu hapa yule wa kuliwa na watu wachache sana


Nyama za watu zinaliwa na watu wengi??, au hakuna watu wanaokula nyama za watu??

Ni hao ndio wanaosema kwamba nyama ya nguruwe ladha yake inafanana na nyama ya mtu na hii inathibitika kibaiolojia kwani mtu na nguruwe wote ni "omnivorous" na Wataalamu wa chakula na lishe wanasema: you are what you eat, yaani (Mwili na tabia za mtu) zinatokana na vitu anavyokula sasa Nguruwe na mtu kimsingi ni jamii moja katika lishe au kwa lugha rahisi ni sawa na kusema kula nguruwe ni karibu sana na kula nyama ya mtu na hao wanaosema ladha ya kitimoto na nyama ya mtu zinashabihiana sana wala hawajakosea.
 
Wataalamu wanasema Kitimoto husababisha Ushoga na pombe husababisha kudhoofu kwa mwili na umaskini.
Ushoga umejaa Pwani zaidi ambako wengi kutokana na imani zao hawali kitimoto, Tanga,dsm,Zanzibar...........tangu mwaka 0 nakula kitimoto
 
Ushoga umejaa Pwani zaidi ambako wengi kutokana na imani zao hawali kitimoto, Tanga,dsm,Zanzibar...........tangu mwaka 0 nakula kitimoto


Kwani kama wewe ni shoga kwa mila za kiafrika unaweza kujitangaza???🤣
 
Vipi sigara na mirungi
Kwa uislam kitu chochote kinachoweza kuadhiri afya ya binadamu ni haram! Kuhusu hili waislamu wanagawanyika sehemu mbili, kuna wanaoona sigara na mirungi ni MAKRUH(kero) kuwa sio tatizo kutumia, kuna wengine wanaona sigara na mirungi ni HARAAM(hatari) haviwezi kutumiwa
 
Nikinywa bia ambazo bei inaenda kushuka kuanzia Leo hii halafu nikala kitomoto maisha yanakuwa matamu sana na inanikumbusha Ruaha Morogoro acha tu.
 
Ukipiga vyote kwa pamoja inakuwa ni utamu + utamu. Hata hilo swali hautouliza tena
 
IMG_7289.jpg

Karibu nimemaliza kupiga
 
Halafu kitimoto ya mkoani ikiwa fresh ni taamu balaaa yaani. Sema wengi hawana maujuzi ya kupika roast lake. Yaaanii ya mkoa haihitaji efforts halaf ni bei chee[emoji23][emoji23] ulisikia bia ni chakulaaa wee mang'aa?

As long as tunaishi na munambagua huyu kiumbe wa Mungu tutamlinda na kumtetea hadi liambaaa[emoji200][emoji200][emoji241][emoji241][emoji179][emoji179][emoji179]
Haramu ya mkoani usipime tamu sana[emoji39][emoji39][emoji481][emoji481]
 
Waarabu, zanzibar, Tanga na sehemu zenye uislam ambako hawatumii hiyo kitu ndiko kuna tabia za kuwaingilia wanawake kinyume na maumbile ambako nakuita ni ushoga pia.

Acha kupotosha
Halafu hii ni kweli[emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom