Chilla moko
Senior Member
- May 5, 2020
- 140
- 284
Nasikia bia za flying fish ni tamu na pia zinaongeza sana ashiki (nyege)
Kwa mlio jaribu ni kweli?
Kwa mlio jaribu ni kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesikia kutoka wapi ndugu?Nasikia bia za flying fish ni tamu na pia zinaongeza sana haski (nyege)
Kwa mlio jaribu ni kweli?
Ana Nyege sio kwamba kasikia wapiUmesikia kutoka wapi ndugu?
Siyo kweli....kila kitu ni namna unavyojiendekeza nacho...
acha unafki sema tumekuja😂Wanakuja
Kuna mtu wangu alinipa hiyo codeUmesikia kutoka wapi ndugu?
Siyo kweli....kila kitu ni namna unavyojiendekeza nacho...
Mwambie aache Uongo...Kuna mtu wangu alinipa hiyo code
Kwenye maisha kujua vitu vi vizuri ila kujua zaidi ni mbayaKila kitu wataka kujaribu [emoji848]
Subiri waje kukupa muongozo
Oya weeeh[emoji23][emoji23]Ana Nyege sio kwamba kasikia wapi
Kwahiyo kanipanga?Mwambie aache Uongo...
Na Ukapangika....Kwahiyo kanipanga?
Mimi na bia wapi na wapi jamani🤣🤣acha unafki sema tumekuja😂
Basi anatiwa!Na Ukapangika....
Halafu milimda nyeusi ukinywa zaidi ya mbili unalewaMimi na bia wapi na wapi jamani[emoji1787][emoji1787]
Zangu Fanta orange na mirinda nyeusi
Mbona nakunywaga 5 na silewiHalafu milimda nyeusi ukinywa zaidi ya mbili unalewa
Basi kumbe flying fish unaibudu vizuri tuMbona nakunywaga 5 na silewi