Rozela
JF-Expert Member
- Jan 5, 2024
- 845
- 2,235
1. Timu ya Azam. Hii timu imesajili wachezaji ghali na inalipa mishahara na posho kubwa lakini uwezo wake uwanjani hauridhishi hata kidogo.
2. Azam Pesa. Pamoja na promo zote, watu wengi hawajashawishika kutumia huduma hii.
My take: Mzee azifunge hizi biashara anunue mabasi hata kama wafanya biashara wengine watanuna ila atapata wateja wengi sana.
2. Azam Pesa. Pamoja na promo zote, watu wengi hawajashawishika kutumia huduma hii.
My take: Mzee azifunge hizi biashara anunue mabasi hata kama wafanya biashara wengine watanuna ila atapata wateja wengi sana.