Mawembasa1979
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 2,540
- 3,333
Kuku wa kienyeji hawana changamoto kubwa sana ya maradhi kama eneo lako la ufugaji unaliweka katika hali ya usafi na kutoingiliana na kuku wa jirani.Ufigaji wa kuku unahiyaji pesa mkuu.
Magonjwa? Chakula, banda n.k
Ufugaji unafaida kama na kama tu unamtaji
Mkuu hilo si kosa lake ni kosa la kimfumo kwa Watanzania wengi. Watanzania tulio wengi hatukuzoeshwa kwenye maisha ya kujiajiri, tunapenda kuajiriwa. Ni muhimu sasa tukaanza kubadili mind set zetu kwa kuwaza zaidi kujiajiri. Ukitaka somo la kujiajiri nenda Wilaya ya Makete (ingawa wengi tumeaminishwa ni uchawi), utaona vijana wengi kule wanaanza na mitaji midogo ya sh 100,000 either kwa kulima viazi au kununua miti na baadaye kuwa wasafirishaji wakubwa wa mbao. Akiona mtaji unakuwa mkubwa anafanya biashara upande mwingine analima. Ndio matajiri wa Makete wanavyopata utajiri. Ila kujinyima (kutofanya anasa) ni sehemu mojawapo ya falsafa yao ya kufanikiwa kibiashara.We una matatizo ya akili trust me, Sasa anzisha basi naww uzi uki-motivate watu wasifanye biashara au ufugaji wazurule na mabahasha ofisi za watu kuomba kazi...yaan mtu kutoa idea imekuwa kosa?? kwani we hujawahi kumshauri mtu kitu ambacho hujawahi hata kukifanya?? So far umejuaje Kama yeye anapuyanga kwa miguu mtaani?? Kuna watu wanapata business ideas humuhum JF hadi wanarudi kutoa special Thanks kwa wachangiaji husika waliotoa hizo idea. Kuwa Matured Mkuu.
Daah bas wabongo tuna shida kichwani aseeMkuu hilo si kosa lake ni kosa la kimfumo kwa Watanzania wengi. Watanzania tulio wengi hatukuzoeshwa kwenye maisha ya kujiajiri, tunapenda kuajiriwa. Ni muhimu sasa tukaanza kubadili mind set zetu kwa kuwaza zaidi kujiajiri. Ukitaka somo la kujiajiri nenda Wilaya ya Makete (ingawa wengi tumeaminishwa ni uchawi), utaona vijana wengi kule wanaanza na mitaji midogo ya sh 100,000 either kwa kulima viazi au kununua miti na baadaye kuwa wasafirishaji wakubwa wa mbao. Akiona mtaji unakuwa mkubwa anafanya biashara upande mwingine analima. Ndio matajiri wa Makete wanavyopata utajiri. Ila kujinyima (kutofanya anasa) ni sehemu mojawapo ya falsafa yao ya kufanikiwa kibiashara.
Soko lake likoje? Na unafugia mkoa gani na vp kuhusu chakula unawapa aina gani ya chakula mie nafuga ila sio kibiashara ningependa kujifunza kwako.Ufugaji wa bata kidogo unitoe ila magonjwa yalinifelisha,sijakoma naanza upya
Nalog off
Mkuu mie nawafugia nje ya TanzaniaSoko lake likoje? Na unafugia mkoa gani na vp kuhusu chakula unawapa aina gani ya chakula mie nafuga ila sio kibiashara ningependa kujifunza kwako.
Daaah kuna watu mnatamba!!Mkuu mie nawafugia nje ya Tanzania
Nalog off Z
Nyumba za kupanga ni changamoto kubwa kwa sis tunaoanza maisha aseeeeeMkuu hiyo laki ni kubwa. Kuna mtu namjua alianza na kuku 2 wa kienyeji, mmoja tetea na mwingine jogoo. Kwa sasa ana kuku zaidi ya 500. Anawapunguza kwa kuuza kila mara. Sema changamoto ipo kwenye eneo la kufugia hasa ukiwa upo kwenye nyumba ya kupanga.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwamba aingie fieldKweye makaratasi hakuna biashara ngumu na biashara zote zina faida kubwa.
Labda Malawi!Mkuu mie nawafugia nje ya Tanzania
Nalog off Z