Biashara ambayo hautokaa upate hasara


Nilianza forex ila nilikuja kuacha 2019


Sijapata hela kwa njia ya fx na simshauri mtu afanye fx labda afungue brokerage company “the house always win”
 
Nilianza forex ila nilikuja kuacha 2019


Sijapata hela kwa njia ya fx na simshauri mtu afanye fx labda afungue brokerage company “the house always win”
Okay ulitumia source gani kuearn mkuu, shusha madini wote tupate. $50K its a huge cash, no one dislike it.
 
Maarifa na Mtaji ni vitu ambavyo vinategemeana kweny suala zima la utafutaji.

Kwan mtaji(pesa) ndo unakup nini ukitafutie maarifa kwani kipo ndani au nje ya uwez wako.

Coz dunia ya sasa hivi maarifa yanauzwa je una pesa ya kuyamudu hayo maarifa unayoyahitaji???

Na hat ukiyapat una uwezo au support w kuyatekeleza???

Afu ndo uamue!!!! Nawasilishaaa.
 
Business ideas are abundant these days, it's just a matter of choice
 
Tuna "madikita" na "maporofesa" masikini kabisa hapa nchini hadi wamekuwa CHAWA, hayo maarifa hawana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…