Penelope
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 713
- 642
Habari Jf,
Nina msichana wangu wa nyumbani ambaye kwa kweli amenisaidia sana kwa miaka 2 na nusu aliyokaa na mimi.pamoja na kazi zake kufanya vizuri lakini pia hana kiburi au tabia za kuchocha mtu.sasa anataka kwenda kwao dec mwaka huu na asilimia 98% ya mshahara wake nimemuhifadhia nitampa siku anaondoka,,ingawa anasema atarudi hapo sina uhakika.kwao ni Singida.
Sasa nawaza kama akirudi,natamani nimsaidie na nimshauri asomee kitu kitakacho kuja kumpa ajira nyingine badae,, kwa level yake ya elimu ni darasa la 7..naomba mnishauri ujuzi gani anaweza kusomea ila cherahani mwenyewe hapendi..
Au hela atakayopata na kama hatarudi kwangu biashara gani anaweza kufanya ingawa hapa kwenye biashara napata mashaka kama atamudu..ana miaka 20
Nina msichana wangu wa nyumbani ambaye kwa kweli amenisaidia sana kwa miaka 2 na nusu aliyokaa na mimi.pamoja na kazi zake kufanya vizuri lakini pia hana kiburi au tabia za kuchocha mtu.sasa anataka kwenda kwao dec mwaka huu na asilimia 98% ya mshahara wake nimemuhifadhia nitampa siku anaondoka,,ingawa anasema atarudi hapo sina uhakika.kwao ni Singida.
Sasa nawaza kama akirudi,natamani nimsaidie na nimshauri asomee kitu kitakacho kuja kumpa ajira nyingine badae,, kwa level yake ya elimu ni darasa la 7..naomba mnishauri ujuzi gani anaweza kusomea ila cherahani mwenyewe hapendi..
Au hela atakayopata na kama hatarudi kwangu biashara gani anaweza kufanya ingawa hapa kwenye biashara napata mashaka kama atamudu..ana miaka 20