dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,958
- 9,516
Wandugu Heri ya mwaka mpya, naamini Mungu ametuvusha salama.
Somo liko juu hapo Mwaka huu natamani kuanzisha biashara ya Nguo, Simple shoes na Mikoba ya akina dada. Nataka kupeleka kwenye hiyo nchi so nimekuja kwenu kupata uzoefu wa huko nikiamini humu tuko watu tofauti tofauti ambao wengi wenu aidha mmewahi kufanya hiyo biashara au mmewahi kufika huko kwa biashara nyingine.
Changamoto zake ni zipi, jamaa wa huko ni vipi kuhusu uaminifu na mwisho usafiri wa kufika huko ni upi?
Natanguliza shukrani wakuu. Karibuni kwa mawazo.
Somo liko juu hapo Mwaka huu natamani kuanzisha biashara ya Nguo, Simple shoes na Mikoba ya akina dada. Nataka kupeleka kwenye hiyo nchi so nimekuja kwenu kupata uzoefu wa huko nikiamini humu tuko watu tofauti tofauti ambao wengi wenu aidha mmewahi kufanya hiyo biashara au mmewahi kufika huko kwa biashara nyingine.
Changamoto zake ni zipi, jamaa wa huko ni vipi kuhusu uaminifu na mwisho usafiri wa kufika huko ni upi?
Natanguliza shukrani wakuu. Karibuni kwa mawazo.