KALINZI NYUMBANI
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 1,797
- 1,594
Wakuu mimi ni mjasilimali mdogo tu ambae kwa siku naweza tengeneza faida ya kuanzia elfu 30 or elfu 40. Sasa kwa sasa natafuta biashara ambayo inaweza tengeneza faida ya kuanzia laki tatu kwa siku.Na vimiradi viwili ambavyo vinaniingizia hiyo pesa.
Mtaji uliopo ni kati ya (9/12 Million).Hii biashara nahitaji niisimamie mie mwenyewe.
Nimejitahidi kusoma forex, BTC lakini naona kichwa changu ni kigumu kuelewa .
Napokea ushauri wowote ila isipokuwa wa kuwekeza kwenye kilimo. Na pia wa kufanya biashara ya kushirikiana na mtu(kugawana share).
Karibuni kwa mawazo.
Mtaji uliopo ni kati ya (9/12 Million).Hii biashara nahitaji niisimamie mie mwenyewe.
Nimejitahidi kusoma forex, BTC lakini naona kichwa changu ni kigumu kuelewa .
Napokea ushauri wowote ila isipokuwa wa kuwekeza kwenye kilimo. Na pia wa kufanya biashara ya kushirikiana na mtu(kugawana share).
Karibuni kwa mawazo.