Biashara gani halali inaweza tengeneza faida ya kuanzia laki tatu kwa Siku?

Biashara gani halali inaweza tengeneza faida ya kuanzia laki tatu kwa Siku?

Tatizo huwa tunawazia mabiashara makuubwa ambayo faida zake ni Tsh.100-300, anza kuuza miwa kwa kununua na kupaki kwenye vifuko, mfn. Kwa siku huwa target yangu kuuza vifuko 100-150 kwa Tsh 500 kwa siku. Nina uhakika wa kuondoka na Tsh. 50000 per day kila cku. But lazima uwe Town kwenye miji mikubwa
 
Mimi mbona hadi namba zangu na watu wengi humu nimefanya nao kazi, au wenzangu mnaitumia jf kwa mambo mabaya
Ahhj hapana,ujue kuna muda tunatokaga kwenye site tumechoka so hua tunaongea upuuz sana hum,mtu anaeza dhani si watu wa maana,ila,ni watu wenye status zetu za maana sana,so nkiweka details hapa,itakua shida,af mi pale udsm nilikua maaruf sana,watu wakijua ndo mim,itakua noma,..this site is for havin fun,to me lakin,
 
Ahhj hapana,ujue kuna muda tunatokaga kwenye site tumechoka so hua tunaongea upuuz sana hum,mtu anaeza dhani si watu wa maana,ila,ni watu wenye status zetu za maana sana,so nkiweka details hapa,itakua shida,af mi pale udsm nilikua maaruf sana,watu wakijua ndo mim,itakua noma,..this site is for havin fun,to me lakin,
Poa, jumapili njema
 
kama una experience mbona sasa bado hujatoka.usimdanganye mwenzako,sisi tupo machimboni huku tunaijua vizuri hii biashara
Ujue kubishana kusiko na tija ni kumaliza calories, naongelea experience hapa sio theories sasa sijui unachobisha ni nini.
 
Usimdanganye mwenzio wew,...akapoteza hela yake,we unaonekana biashara ya madin huijui na unaiskia tuu kwa stor za watu...mi nmefanya hii baishara kwa mda mref,kama mtu ni mpya kabsa kwenye biashara hii,had uje ukae sawa huo mtaj wa mil5-10 ushapotea,hii biashara inahtaj experienc ya hal ya juu,ni wazoef tuu ndio wanatoboa hii kitu,sasa mwenzio hajui chochote kuhusu hii kitu af aweke pesa hapo,mshaur kitu kingne ila sio madin,had apate experience ndo afanye
kwahi wale wachimbaji wanao anza na mtaji wa bereshi na sululu vipi? wale pata potea wale...? ebu hacheni mabishano ongeeni mambo ya kueleweka... field field una tutisha na field? hacha mambo yako mkuu...

pesa katika madini zipo tena nyingi sana... afatilie na ausome mchezo kwa makini kabla ya kuingiza pesa zake, wapo wanao fanikiwa kwa kuthubutu... wakina masanja wanaendelea na biashara na wanalima nk... wamethubutu na wanaingiza pesa za kutosha

migodi ipo mingi tu yenye madini... ukitaka ulanga kma una mteja, dhahabu, copper... machimbo yapo... andaa strategies za kupata hayo madini na soko lako kwa madini utakayo yachagua...
 
Ok, ila ufahamu hii biashara naijua, na siwezi kumpeleka mtu kwenye majanga, najua uchungu wa kutafuta. Mimi ni Engineer, nafanya kitu ambacho nakijua. Siku njema
hawa wasomi wetu wa EXPANSION JOINT mitaji hawana wanataka kukutapeli waogope! endelea na biashara yako mkuu ya zamani
 
Stak kukwambia kwasabab utanifaham,ila nkupe hint,nmesoma,CoNas,udsm,.Bsc in geology.
kusoma CONAS sio tatizo mimi mwenyewe my bro kapita hapo na namtumia kupata kuyafahamu madini na ananipa elimu yake juu ya hii biashara na ndio aliye sababisha nimezunguka na kufahamu hasa hii biashara na faida zake... na ananiambia ukimiliki mgodi ukawa una chimba mwenyewe ni rahisi kupata hizo Mil 500... na kuendelea kwa kuwa product ipo na nijuudi zako za kufanyakazi

msichanganye watu ili waogope kufanya hizi biashara ili muendelee kuneemeka wachache... toeni njia ili wengine waingie, elezeni changamoto na namna ya kuziondoa sio kukatisha tamaa eti huwezi kuna utapeli... wapi ambapo hakuna hutapeli, biashara gani isiyo na hasara?

ujuaji mwingi mbele kiza
 
kwahi wale wachimbaji wanao anza na mtaji wa bereshi na sululu vipi? wale pata potea wale...? ebu hacheni mabishano ongeeni mambo ya kueleweka... field field una tutisha na field? hacha mambo yako mkuu...

pesa katika madini zipo tena nyingi sana... afatilie na ausome mchezo kwa makini kabla ya kuingiza pesa zake, wapo wanao fanikiwa kwa kuthubutu... wakina masanja wanaendelea na biashara na wanalima nk... wamethubutu na wanaingiza pesa za kutosha

migodi ipo mingi tu yenye madini... ukitaka ulanga kma una mteja, dhahabu, copper... machimbo yapo... andaa strategies za kupata hayo madini na soko lako kwa madini utakayo yachagua...
Ehh ni bora akaanza na hayo mabereshi ila sio atumbukize mil15,...mi naongea kwa experienc mkuu,sabab nmefanya hii kitu na nnaijua nje ndani,mikoa yoote nmekaa kwa sabab ya hii ishu na nje ya nchi nmefika kwasabab ya hii ishu,.mtu asie na knowledge kabsa ya madin simshaur afanye hii kitu,kama ni kufanya bas aanze na mtaj wa lak5 tu,aende huko site akaaeee ajue michezo yoote halaf ndo badae aweke pesa,...
 
Back
Top Bottom