Biashara gani halali inaweza tengeneza faida ya kuanzia laki tatu kwa Siku?

Kwaiyo mkuu una miliki mgodi na gharama za kumiliki roughly itakuwa tshs ngapi?
Huyo jamaa anaota,et mil500,huyu ndo wale wa biashara za matikiti eka 1 faida mil20 huyu,haya na tumwache,nishajua kumbe bado kinda na hajui anaongea nin,madin kwake ni kuskia kwenye vijiwe tu
 
Yan wew unataka biashar yeny kulet faid hyo wakt hujataj biashar unayoifanya? Thnk twice
 
Sasa mkuu experience itapatkanaje? Km asipofanya
 
Mkuu Elungata unaonekana upo kwenye field ya dhahabu ingawa mwishoni unakataa kuwa hufanyi.Naomba uendelee kunipa mwanga niangalie kama naweza ingia au la.
mimi ni nomad,ila napitapita kahama kwasababu kuna jamaa zangu huko,
sasa hapo kahama hulipuka machimbo ya dhahabu mara kwa mara na watu kutoka sehemu mbalimbali wanakuja ama kuchimba au kununua dhahabu,ama kufanya biashara yeyote eneo husika kuanzia vyakula,vinywaji ama hata gest,
nipasema gest ni gest zile za either batiama turubai,watu wanakodi ardhi kwa bei cheap na kusimika biashara,hakuna vitanda ni godoro tu zile cheap na watu wanapiga hela mno,kila biashara pale inatoka labda kasoro nguo,
lakini biashara za vyakula,pombe,maji,fag,condom etc utauza mno.
Sasa nje kidogo ya mji wa kahama kuna hayo machimbo ambayo ndo sasa yako chati,wakazi wengi wa kahama mjini sasa huko ndo chimbo lao la pesa,na huko ndo unakuta watu wana mitaji midogo tu nao wananunua dhahabu,
wengine wanauza vinywaji,pombe,maji etc
 
Na saluni 2(kuna watu wanasimamia),pia nkiduka cha reja reja kuna mdogo wangu anasimamia lakini sasa natafuta shughuri ntakayoifanya mie.
ina maana saloon mbili na duka moja vyote kwa pamoja ndio vinakuingizia faida ya elfu 3o-40 kwa siku au kila biashara inakuingizia tofauti
 
Safi sana kwa kuconfess nimekupenda bure mkuu Kuna msemo "Forex is not for everyone" hii ndiyo maana yake Forex inahitaji brilliant minds Ontario na Creaton na trader mwingine mzuri na wa siri siri the bold ambaye hadi siku hizi haandiki tena makala kwa sababu ya kutrade siyo wachovu kichwani
Find another way mkuu Nelson Mandela alisema 'there is no passion to be found in settling for a life that is less than you are capable of living'
 
Kiongozi nimefata pm unisaidie kitu
 
ina maana saloon mbili na duka moja vyote kwa pamoja ndio vinakuingizia faida ya elfu 3o-40 kwa siku au kila biashara inakuingizia tofauti
Mkuu saluni mbili zote kwa pamoja nachukua laki na 60 kwa wiki.Kiduka ndio kinaniletea hiyo faida 30/40 sema pesa ya saluni huwa siitumii kwa shughuri yeyote hii baada yakuiweka ndio imeleta hio pesa 9/12M.Kiduka nakitumia kuendeshea maisha yangu nandio kinatengeneza hiyo pesa 30/40 per day.
 
Mkuu kiukweli Forex naipenda namesoma vitabu viwili lakini kwa mazingira niliyonayo naona muda haunitoshi.Na inahitaji muda wakutosha nakusoma vya kutosha,pia lengo langu kubwa nataka nitengeneze mradi/miradi itakayoniingizia angalau laki tatu mpaka tano per week baada ya hapo ndio niingie kwenye forex.
 
Ndio maana nikamwambia aje tufanye kazi, sio kumwambia aende akafanye mwenyewe, uwe unasoma vizuri nilichomwambia
Mkuu watanzania wengi wanafeli kwa kuogopa kujaribu. Nimejaribu kufuatilia maelezo yako, inaonyesha kwa dhati ya moyo wako umejitoa kusaidia lakini kwa ugumu wa watu wanaogopa kujaribu ni kama unampigia gitaa mbuzi. Mimi nitakutafuta inbox mkuu ili unielekeze vzr japo sie niliyeomba ushauri, lakini naona ufahamu wako unaweza kusaidia watu humu.
 
Uza ngada ila kwa siri faida unapata laki 7 kwa siku... [emoji23] [emoji1]
 
Usijali kaka, watu wa humu nawaelewa vizuri, wanaona kila mtu humu amekuja kuzuga.
 
Huyo jamaa anaota,et mil500,huyu ndo wale wa biashara za matikiti eka 1 faida mil20 huyu,haya na tumwache,nishajua kumbe bado kinda na hajui anaongea nin,madin kwake ni kuskia kwenye vijiwe tu
ha ha ha,mkuu sio kumiliki mgodi kwa maana halisi ya mgodi,
wanaita kumiliki duara,au kwa tafsiri nyepesi kumiliki shimo,
halafu unakuwa na watu sasa wa kuingia chini kuchimba,mawe yanapopatikana kuna watu wana mashine za kucrush,kisha inaoshwa dhahabu fresh inapatikana hapo shimo likifoka ndo unafuatia mgao kisha kila mtu anatafuta mtu wa kumuuzia dhahabu,na hapo ndo chinga anapoingia,maana kuna wengine wanapata vipunje vidogo sasa hawezi kuja mjini kuuza kiasi kidogo cha dhahabu atamuuzia huyo chinga ili apate pesa ya kula ,huyo chinga nae atatafuta tajiri wa juu yake anamuuzia kwa faida maisha yanaenda,tajiri huyo mkubwa nae atajua ataipeleka kwa sonara mjini ama atapeleka Nairobi etc.

Kumiliki duara haitaji pesa kiasi hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…