Hujamuelewa, anachomaanisha nilichukua uwakala wa kukata ticket za mabasi yaendayo mikoani.. ukiwa wakala kunapercent unapata. But itategemea na wingi wa ticket.. ndio maana kakwambia wateja kumikwa uelewa wa haraka juu ya biashara jibu lake la namba tano i dont think so wateja kumi kwa ubungo ambao wanalipa miambili thats uongo couse wao wanaingiza elfu mbili how came upewe 20000 au nimesoma vibaya hizo amount