Biashara Gani Ina faida Nzuri?

kwa uelewa wa haraka juu ya biashara jibu lake la namba tano i dont think so wateja kumi kwa ubungo ambao wanalipa miambili thats uongo couse wao wanaingiza elfu mbili how came upewe 20000 au nimesoma vibaya hizo amount
Hujamuelewa, anachomaanisha nilichukua uwakala wa kukata ticket za mabasi yaendayo mikoani.. ukiwa wakala kunapercent unapata. But itategemea na wingi wa ticket.. ndio maana kakwambia wateja kumi
 
Nice
Nimependa
 
Kila biashara inalipa ndo sababu unaona watu wanazifanya. Ila jinsi gani itakupa faida kubwa hutegemea na mtaji wako na pia aina ya biashara pamoja na soko. Kwa hali ya uchumi sasa sikushauri ufanye biashara yeyote tofauti na biashara ya nafaka. Hii ndo pekee iliyo na uhakika wa kufanya vizuri.
 
Kila biashara ina faida but it depend na hitaji la watu wa na eneo husika unalofanyia hiyo biashara.
 
Point...lazma mtu ule chakula na kama huna uko radhi ukakope ununue.
 
Nimeipenda hiyo ya mayai... Ebu nijipange...
 
Tujue kwanza jinsia yako kwanza ndugu ndio tukushauri.Mana hujasema kama unamtaji au laa na kama unao ni kiasi gani,sorry lengo lakujua jinsia ninamaana yangu kuna business zingine unawekeza bila mtaji haswa ukiwa unavaa sketi ...
 
Mkuu unaifanya hii?
 
watakaohitaji niwaunge kwenye group la wafanyabiashara tz wanicheki 0759500807
 
Nzuri sasa
 
Biashara siku zote hutegemea kiasi cha mtaji, location , mahitaji/demand, na wakati mwingine huwa inategemea na msimu(mf. Kipindi cha masika huwezi ukauza ice cream) . Vyote hivyo lazima uvizingatie kabla ya kuanzisha biashara yoyote, taja mtaji,eneo ulipo nk watu wakushauri kulingana na hali yako
 
Fungua duka la mahitaji muhimu kama unga,mchele,maharage,mafuta n.k (fikiria vitu ambavyo kila siku lazima vinunuliwe,viweke dukani) utapata zaidi ya hiyo 20000 kwa siku kutegemeana na wingi wa wateja
 
Mtoa hoja kama ni mlala hoi kama mimi , twende kwenye chips , ukiuza 40000 faida ni 20000 .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…