Wadau ,
Nimepata fremu maeneo ya kariakoo katika eneo ambalo ni la vitu vya electronics. Sasa niko katika utafiti kujua kipi kinafaa Zaidi kwa biashara kati ya vitu vifuatavyo;
a. Biashara ya kuuza TV, radio na friji kwa wakati mmoja au
b. Biashara ya kuuza simu na vifaa vyake(phone accessories)
c. Biashara ya kuuza spare za simu .
Naomba kwa wale wadau wenye uzoefu na biashara hii , pia kama wanaweza wakanishauri , chochote kile ambacho kinaweza kikaongeza mafanikio katika hili pia nitashukuru.
Asante sana
Nimepata fremu maeneo ya kariakoo katika eneo ambalo ni la vitu vya electronics. Sasa niko katika utafiti kujua kipi kinafaa Zaidi kwa biashara kati ya vitu vifuatavyo;
a. Biashara ya kuuza TV, radio na friji kwa wakati mmoja au
b. Biashara ya kuuza simu na vifaa vyake(phone accessories)
c. Biashara ya kuuza spare za simu .
Naomba kwa wale wadau wenye uzoefu na biashara hii , pia kama wanaweza wakanishauri , chochote kile ambacho kinaweza kikaongeza mafanikio katika hili pia nitashukuru.
Asante sana