Habari wakuu
Dogo amechaguliwa kujiunga UDSM (Main Campus). Anataka atakapokuwa chuo awe pia anafanya biashara ndogo ndogo ambayo haitampotezea sana muda wa masomo. Ikiwezekana aifanye mwenyewe au ampe mtu
katika maeneo ya jirani asimamie.
Tayari amejichanga tangu amalize chuo na ana 1.5m na sisi nduguze tumempa 1.2m hivyo ana mtaji wa 2.7m nje ya pesa ya matumizi mengine.
Sasa tunaomba ushauri wenu kwa hiyo 2.7m anaweza kufanya biashara gani angalau ya kumuongezea kipato. Dogo ana asili ya kujituma sana kwenye ujasiriamali.
Ushauri wenu wakuu
Dogo amechaguliwa kujiunga UDSM (Main Campus). Anataka atakapokuwa chuo awe pia anafanya biashara ndogo ndogo ambayo haitampotezea sana muda wa masomo. Ikiwezekana aifanye mwenyewe au ampe mtu
katika maeneo ya jirani asimamie.
Tayari amejichanga tangu amalize chuo na ana 1.5m na sisi nduguze tumempa 1.2m hivyo ana mtaji wa 2.7m nje ya pesa ya matumizi mengine.
Sasa tunaomba ushauri wenu kwa hiyo 2.7m anaweza kufanya biashara gani angalau ya kumuongezea kipato. Dogo ana asili ya kujituma sana kwenye ujasiriamali.
Ushauri wenu wakuu