Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwa mtaji huo aongeze . Nyingi wanazitoa Dubai, atafute connection ya kuagiza na mtu yani aunge kwa anayeagiza. Akitoa kama 3M akapata simu 10-15 hivi si anauzia ndaniAsante sana mkuu. Hiyo ya simu naona kama anaweza kufanya. Hizo simu anazipata wapi? Msaada plz
Hapo kwenye wanawake wanaweza kumultitask kirahisi zaidi nitakupinga kidogo, personally naweza kudeal na kumanage mambo mengi kwa wakati huouho, pia hapohapo naweza kumanage wanawake 3 simultaneously na hakuna anayeshtuka naamini hii ni kwa wanaume wengi sio mimi tu.Ahh umenikumbusha enzi zangu za hustle ya chuo. Nilifanya biashara kadhaa ikiwemo
- Kufundisha tuition
- Kuuza tshirt
- Kufundisha katika magroup ya Whatsapp ya elimu ya urembo, lishe bora na biashara
- Ushauri wa kupanga sherehe
- Kuuza electronics online
Na nyinginezo mbalimbali
Ila kitu cha kuzingatia ni kuwa uwezekano mkubwa kama biashara itakuwa haraka, itabidi uchague kati ya biashara au masomo. Hilo ndio inabidi kujiandaa nalo especially kama ni mtoto wa kiume (wanaume wapo more likely kuacha chuo kwa ajili ya biashara kwa tathmini yangu. Wanawake wanaweza kumultitask kirahisi zaidi).
Huko Ni boys bana nimeishi humo floor ya mwisho kabisanimemiss sana totoz kali za Hall2
Haya mambo haya [emoji2]Wale tuliokula boom zote tusome comment taratibu tupite hivi[emoji2099][emoji2099]
Wengine wanapata mpka na la biashara hv wanawezajeHaya mambo haya [emoji2]
Boom nilikuwa nalewa na kutombea tu
Hamna neno mkuu ni mtazamo tu kwa experience yangu ya vijana wa kike na wa kiume walioanzisha biashara zikafanikiwa wakiwa chuo. Wavulana wengi walidrop out (ikiwemo mimi) na wasichana walimaliza na biashara zao. Ila kila mtu anaweza kuwa tofauti bila neno.Hapo kwenye wanawake wanaweza kumultitask kirahisi zaidi nitakupinga kidogo, personally naweza kudeal na kumanage mambo mengi kwa wakati huouho, pia hapohapo naweza kumanage wanawake 3 simultaneously na hakuna anayeshtuka naamini hii ni kwa wanaume wengi sio mimi tu.
Mwanaume ndio amejenga asilimia 99% ya dunia hii kama angekuwa hawezi multitasking basi dunia ingebaki enzi za mawe.
Daah nashangaa sanaWengine wanapata mpka na la biashara hv wanawezaje
😂😂😂meals and accomodation unaifanyia mtajiDaah nashangaa sana
Lile limeandikwa meals and accomodations
Sijaona wameandika business capital
Mi nilishasema boom nitalitumbua na kitaa nitapambana nacho tu kwa nini nijiminye
pisi za kwenda ziko hall 7.nimemiss sana totoz kali za Hall2