kevin strootman
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,114
- 1,872
Kama tittle inavyojieleza, ni biashara gani inaweza ikatiki ndani ya wilaya ya same pale same mjini? nafikiria nifungue duka la nguo, duka la vyakula la kawaida au duka la spea za simu.
je, mzunguko wa pesa katika wilaya hii ukoje? au ni biashara gani ya mtaji mdogo ambayo inaweza ikatiki kwa wenyeji wa hapo?
kama kuna mwenyeji wa same au mwenye experience na biashara anipe muongozo.
je, mzunguko wa pesa katika wilaya hii ukoje? au ni biashara gani ya mtaji mdogo ambayo inaweza ikatiki kwa wenyeji wa hapo?
kama kuna mwenyeji wa same au mwenye experience na biashara anipe muongozo.