Biashara Gani kwa sasa inafaa na haka ka Mtaji kangu ka 1mil to 2mil tafadhari msaada


Ndugu yangu swala la machine nadhan sio kigezo, umesha amua fanya biashara fanya kwasababu biashara lazima hela ihusike moja kwa moja.. tambua waweza kujua fedha bandia hata bila machine. Chukua hatua mapema

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Ndugu kasweet,
nami pia nimawazo ya kuazisha biashara ili niweze kujikwamua. Tayari nimebuni biashara na mchanganuo wangu unahitaji mtaji usiopungua mil 2, kinachonikwamisha kwasasa nina mil 1 pekee. Kama ukotayari tunaweza kuwa washirika kwa kuunganisha mitaji na kufanya biashara pamoja. Kama unaafiki tafadhari tuwasiliane kwa ufafanuzi zaidi
 
unaweza ukapewa wazo la biashara afu ikaja kufa mbeleni ukasema watu wamekuangusha.
 



Mkuu hapo kwenye nyekundu nimekusoma. Mtu hawezi kujua maana yake mpaka aanze biashara ndio ataelewa unachozungumza hapa....
 
achana na tigo pesa, fanya biashara ya chakula, inahela sana,
 
Jitahidi kipindi hiki cha msimu wa mazao ununue hususan huku bara, ni msimu wa mavuno hasa mpunga.

Mazao ya nafaka yatakutoa fasta na mtaji kukua haraka mno, ila uwe na mahala kuhifadhia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…