Biashara gani naweza kufanya kwa Milioni 10-18? Msaada Please

Biashara gani naweza kufanya kwa Milioni 10-18? Msaada Please

Mm Nina kiwanda changu cha ninatafuta mwekezaji million 10-20 ambapo unapata faida sh ml2-3 kwa mwezi unaweza kuwasiliana na Mimi kupitia 0675226757
Luna viwanda vyaaina nyingi ndugu Funguka ili ushawishi watu
 
Nunua mashine ndogo za kukamua mafuta ya nazi,uwe umapack kwenye vichupa vidogo,coconut virgin oil iko in high demand kwa matumizi ya kupaka,hasa watoto.
Mashine ndogo ya kukamua mafuta utaipata kwa pesa si zaidi ya milion 4.

Au nunua machine ndogo ya kukamua alzeti uingie kwenye uzalishaji badala ya kufanya uchuuzi
 
Nunua mashine ndogo za kukamua mafuta ya nazi,uwe umapack kwenye vichupa vidogo,coconut virgin oil iko in high demand kwa matumizi ya kupaka,hasa watoto.
Mashine ndogo ya kukamua mafuta utaipata kwa pesa si zaidi ya milion 4.

Au nunua machine ndogo ya kukamua alzeti uingie kwenye uzalishaji badala ya kufanya uchuuzi
Mkuu mashine hizo zinapatikanaje?? otherwise ushauri wako mzuri..
 
Mkuu mashine hizo zinapatikanaje?? otherwise ushauri wako mzuri..
angalia hiyo link hapo juu,utaona machine za viwango tofauti tofauti,kama unaona shida kuagiza china,hiyo bei ya milioni 4 ni kwa machine zinazopatikana kenya,nairobi ukitaka adress,namba ya simu naweza kukutafutia
 
Mrejesho

Wana jf asanteni sana kwa ushirikiano wenu wa kutafuta mwekezaji wa kiwandani kwangu. nimeshapata partner mwenzangu wa kushirikiana nae kwahio mjadala wa hio partnership umefungwa.Ahsanteni sana
 
Nina kiwanda changu tanga ambacho ninatafuta mwekezaji ambae atatoa ml 10-20 ambapo atapata faida kwa mwezi ml2-3
255b45425af623f2022aa4a40b7599a0.jpg
Mrejesho

Wana jf asanteni sana kwa ushirikiano wenu wa kutafuta mwekezaji wa kiwandani kwangu. nimeshapata partner mwenzangu wa kushirikiana nae kwahio mjadala wa hio partnership umefungwa.Ahsanteni sana
 
Uko katika mazingira gani kimaisha?

Kama uko sehemu ambapo kuna ardhi, nakushauri ulime au ufuge kuku wa kienyeji .....
Ukitaka mchanganuo wa kufuga kuku wa kienyeji nambie nikutengenezee bure. .. faida utaanza kuipata siku moja baada ya kuanza .. si utani na ndani ya miezi mitatu utakuwa umerudisha pesa yako na utaendelea kupata faida tu ... ila lazima ukubali kujitoa kufanya kazi.
Mkuu Naomba unitengenezee...naona inaniingia akilini hii
 
Mrejesho

Wana jf asanteni sana kwa ushirikiano wenu wa kutafuta mwekezaji wa kiwandani kwangu. nimeshapata partner mwenzangu wa kushirikiana nae kwahio mjadala wa hio partnership umefungwa.Ahsanteni sana


Mkuu Biashara vipi? mnaendelaje ?
 
Biashara siku zote ni experience ya mfanya biashara huwez kujua biashara kwa kushauriwa tu Bali kwa mtu kua tayar mfanya biashara mfano mm nimesha poteza hela nying kwenye kutafuta ipi biashara itakayo nifaa nimesha fanya biashara kadhaa na nimesha pata hasara pia Ila nilicho Amin ili ufanikiwe katika biashara ingia kwanza kwenye biashara Apo utapoteza hela Ila MUDA unavyo zid kwenda utaanza kujua nn ufanye Kama ni biashara hio hio ilio nayo ama ingine Kama mm apa nimeangaika kwa muda nikitafuta biashara ya kufanya uku nafanya biashara huwez Amin biashara yangu imesha nionesha vitu Ving vya kufanya na vyrnye faida kubwa Sana nasubiri Corona iishe tu kwani
Habarini za jioni waugwana..

Ninapenda kutanguliza shukrani zangu kwa yeyote atakaenisaidia.

Ndugu zangu nina shida ambayo naamini wataalamu wa biashara wanaweza kunisadia- Katika kipindi hichi kigumu kwa wafanyabiashara walio wengi, Ningependa kuomba ushauri na msaada wa wazo la bishara gani nifanye.

Ninataka nifanye biashara lakini mtaji wangu nikama 10-18 Milioni- Wataalamu mnisaidie, ni Biashara gani nawezakufanya na ikanipa matokeo chanya kwa mda mfupi??

Nitashukuru sana kwa mawazo yenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara siku zote ni experience ya mfanya biashara huwez kujua biashara kwa kushauriwa tu Bali kwa mtu kua tayar mfanya biashara mfano mm nimesha poteza hela nying kwenye kutafuta ipi biashara itakayo nifaa nimesha fanya biashara kadhaa na nimesha pata hasara pia Ila nilicho Amin ili ufanikiwe katika biashara ingia kwanza kwenye biashara Apo utapoteza hela Ila MUDA unavyo zid kwenda utaanza kujua nn ufanye Kama ni biashara hio hio ilio nayo ama ingine Kama mm apa nimeangaika kwa muda nikitafuta biashara ya kufanya uku nafanya biashara huwez Amin biashara yangu imesha nionesha vitu Ving vya kufanya na vyrnye faida kubwa Sana nasubiri Corona iishe tu kwani

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana mkuu, wewe kweli umewahi kufanya biashara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini za jioni waugwana,

Ninapenda kutanguliza shukrani zangu kwa yeyote atakaenisaidia.

Ndugu zangu nina shida ambayo naamini wataalamu wa biashara wanaweza kunisadia - Katika kipindi hichi kigumu kwa wafanyabiashara walio wengi, ningependa kuomba ushauri na msaada wa wazo la bishara gani nifanye.

Ninataka nifanye biashara lakini mtaji wangu nikama 10-18 Milioni- Wataalamu mnisaidie, ni biashara gani nawezakufanya na ikanipa matokeo chanya kwa mda mfupi?

Nitashukuru sana kwa mawazo yenu.
Fungua min bekary

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom