Nelson Mgalla
Member
- Dec 28, 2016
- 38
- 13
Heshima yenu wana JF..[emoji112]
Mimi ni mwanafunzi wa chuo naomba kufahamishwa biashara au fursa gani naweza kufanya yenye mtaji mdogo.
Naamini kuna wadau walisha soma na wengine wanasoma ila wana mawazo juu ya biashara na fursa mbalimbali ambazo ukifanya maeneo ya chuo basi italipa kiasi chake.
Mimi ni mwanafunzi wa chuo naomba kufahamishwa biashara au fursa gani naweza kufanya yenye mtaji mdogo.
Naamini kuna wadau walisha soma na wengine wanasoma ila wana mawazo juu ya biashara na fursa mbalimbali ambazo ukifanya maeneo ya chuo basi italipa kiasi chake.