Biashara gani naweza kufungua sehemu wanayokaa matajiri?

Unataka ujiajir? Au una ajira tayar ila unataka kuweka kitega uchum kuongeza kipato.
 
Aisee ngoja nikupe wazo moja tu LA urahisi,,, kama unataka kufungua supermarket hakikisha unakua mbunifu kuliko hyo uliemkuta hapo,na pia km unana kabsa una eneo kubwa vzr weka car wash moja matata sana cz naamin matajiri wengi wana magar so unapoweka hyo hakikisha una sehem tuliv yenye vinyaji ambapo akiwa anasubiri kuhudumiwa unamkamata tena kwenye kitu kingine... Ila hakikisha tu mazingira yawe rafiki ya matajiri wenyewe.. Vitu quality,huduma bora,kauli mubashara wahudum wanaojua kazi na kujali wateja....
 
Fungua minisuper market mkuu itakutoa kwa hayo maeneo
 
Mfano niko Mwanza, Mtaji M8 Elimu Degree nishauri Counselor
8m na elimu yako uwiono upo! Safsana nikupe hongera kwanza!
Sasa chagua kufanya aina ya kaz
kati ya hizi mbili
1. Biashara ya kutumia akili nying ikisaidiwa na ujuzi wa degree yako mtaji wa kifedha kdogo, faida kubwa au
2. Biashara ya kutumia mtaji mkubwa wa kifedha akili kdogo na faida ndogo
Ila zote aina mbili hzo unajiajir mwenyewe bila kujir mtu in short run, labda kibarua tu!
 
Ml 8 ndio mnataka kufungua biashara sehem za kishua au mnatania? Sehem za kishua kama sio matunda na car wash hyo hela ni ya kukarabat tu office
 
OK!
Mm in success counselor,
Nitajie mtaji wa kifedha unaoweza kupata, elimu yako na mkoa uliopo!
Mkuu Nina diploma ya uhasibu niko arusha mtaji 10 million eneo liko sehemu ya mtahiri ila n kama place ambayo ina gate pia ndani kyna bar n restaurant n lodge kuna saloon na massage therapy so kuna only frame ambayo sio kubwa I want do something mini supermarket is not one of it
Nawasilisha
 
Wafanyakazi wa ndani: wanyenyekevu, waweze uyaya, lugha mbili eng na swa, wasafi na wanaojituma
NINAO WALIO PATA MAFUNZO BORA KABISA KUANZIA USAFI WAO ,NYUMBA,WATOTO,MAPISHI NK ILA SIJAPATA WANAO WAHOTAJI MKUU
 
NINAO WALIO PATA MAFUNZO BORA KABISA KUANZIA USAFI WAO ,NYUMBA,WATOTO,MAPISHI NK ILA SIJAPATA WANAO WAHOTAJI MKUU
Piga picha mmoja kasimama jikoni anapika au anaweka chakula mezani, mwingine anacheza na mtoto akiwa na tabasamu mubashara na mwingine anafanya usafi, wavae nguo za heshima. Weka insta. Lakini chuja wateja wengine wana nia mbaya.
 
Nyingi tu, kama Book Store, Bakery, Jewelry shop, Gym yenye sauna n.k., Flower shop, Cafe, Take away joint yenye burgers/fish/chicken/chips/pizza etc, Boutique n.k.
 
Piga picha mmoja kasimama jikoni anapika au anaweka chakula mezani, mwingine anacheza na mtoto akiwa na tabasamu mubashara na mwingine anafanya usafi, wavae nguo za heshima. Weka insta. Lakini chuja wateja wengine wana nia mbaya.
Mkuu hawatangazwi kwa mtindo huo.ee sema unataka wa kazi za aina gani.
USAFI NA MAPISHI AU MALEZI YA MTOTO AU
 
Mini supermarket
 
Jamni samahani kwa kuingilia mada lakn naomba kama kuna mtu ni admin kwenye group lolote la what's app linalohusu ujasiriamali kwa namna moja au nyingine mniunganishe nipate ujanja kwa kiasi fulani maana napenda sanaa huo ujasiriamali namba yangu ni 0621050375
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…