Biashara gani ndogo inayoweza niingizia hata 10,000 kwa siku?

Kopesha wafanyakaz wenzako kwa interest ya 20% lakin hakikisha wana security
 
Huyu amesema ni mwajiriwa, hii biashara inamtaka awepo hapo kwa muda mrefu zaidi. Itamshinda sababu ya muda wake wa kuwepo pale ni mdogo

Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
 
Biashara za msimu ndo zinafaida kubwa, faida huweza kuvuka hata iyo elfu kumi. Mkuu chance is a chance no matter it's mwezi wa ramadhan au january pambana mkuu usigeuke nyuma.
Changamoto atakayo kutananayo huyu jamaa ni kufukuzia upepo wa kila msimu wa biashara wakati yeye ni mwajiriwa na muda mwingi huutumia alipoajiriwa

Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…