unaweza pia ukaanzisha biashara ya kuuza vitu mbalimbali chuoni kama saa, nguo, viatu, wallet na manukato.
unatafuta kijana anakuzingushia chuoni au kama utaweza unafanya Mwenyewe
Kinaitwaje? Kumbe dogo majigo unasoma! safi sana....wakuu chuo kipo DAR
mkuu hiyo biashara unauzoefu nayo
plz nisaidie namna gani naweza isimamia
mkuu hiyo biashara unauzoefu nayo
plz nisaidie namna gani naweza isimamia
mkuu hiyo biashara unauzoefu nayo
plz nisaidie namna gani naweza isimamia
duka la vipodozi umefunga tena?toka DAR,
Salam kwenu wakuu
Ni kwamba hivi karibuni natarajia kuanza masomo ktk chuo flan hapa mjini....
mbali na Ada, nina Shiling LAKI 8 hivi kama mtaji wa biashara,
sasa wakuu naomba mnishauri kitu/biashara gani naweza fanya ambayo haitanibana ukizingatia sina kazi na nategemea kuizungusha hii hela ili niweze kuendesha maisha nikiwa chuo bila kuathiri masomo yangu
MDA CHUONI NI MASAA MATANO ,TUNAINGIA SAA 6 MCHANA KUTOKA SAA 11 JIONI
NB:Tafadhari!! Kama huna ushauri kuwa msomaji tu!!!
AHSANTEN!!
M-pesa itakufaa. Unaweza pia kuajiri kijana kukuzungushia matunda yaliyokatwakatwa na kuwekwa kwenye containers nzuri.
Hiyo biashara ngumu kupata faida kama husimamii mwenyewe. Kwakuwa wewe utakua busy unampa mtaji kijana, kwa siku anakupa kiwango unacho ona kitaleta faida ndani ya muda flani.. Eg, unalipia frem, nakununua mambo yote yanayohitajika kwa siku ya kwanza, then after two days of studying the situation, unakuwa ushajua umtoze sh. ngapi kwa siku msimamizi wako.
Great! Mi enzi hizo za chuo ni kununua majeans na raba nyeupe tu. Najutia kipindi changu kile why sikuamka mapema ningekuwa mbali sana. Komaa na hizo nguo za kike (only) zitakutoa kwa mtaji huo. Ungekuwa na kama 2M ningekushauri utafute kasehemu hapo chuo uuze viepe yaani watoto wa chuo huwaambii kwenye hio kitu. Nimekaa Mabibo hostel (2005-2008) yaani kulikuwa na wagogo std 7 wanauza viepe pale wanapiga hela ndefu hadi dada zetu wakusoma wanashoboka....ndio mkuu
nipo chuo cha bandari hapa
kwa mtaji huo hakikisha, unaazsha biashara ya vocha, pipi na vitu vidogo vidogo wanavyopenda wanafunzi utapata faida balaa, na hata kama huna kipindi asubuhi wewe njoo ujisomee hapo chuoni na hakikisha unavaa apron za kampuni za simu ili wenzio wakufahamu, tena usibakishe pesa wewe nunua vocha za kutosha utapata faida mpaka unaweza acha chuo kama fedha inakuchanganya.
ukifanikiwa urejeshe feedback please!