Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,828
toka DAR,
Salam kwenu wakuu
Ni kwamba hivi karibuni natarajia kuanza masomo ktk chuo flan hapa mjini....
mbali na Ada, nina Shiling LAKI 8 hivi kama mtaji wa biashara,
sasa wakuu naomba mnishauri kitu/biashara gani naweza fanya ambayo haitanibana ukizingatia sina kazi na nategemea kuizungusha hii hela ili niweze kuendesha maisha nikiwa chuo bila kuathiri masomo yangu
MDA CHUONI NI MASAA MATANO ,TUNAINGIA SAA 6 MCHANA KUTOKA SAA 11 JIONI
NB:Tafadhari!! Kama huna ushauri kuwa msomaji tu!!!
AHSANTEN!!
Salam kwenu wakuu
Ni kwamba hivi karibuni natarajia kuanza masomo ktk chuo flan hapa mjini....
mbali na Ada, nina Shiling LAKI 8 hivi kama mtaji wa biashara,
sasa wakuu naomba mnishauri kitu/biashara gani naweza fanya ambayo haitanibana ukizingatia sina kazi na nategemea kuizungusha hii hela ili niweze kuendesha maisha nikiwa chuo bila kuathiri masomo yangu
MDA CHUONI NI MASAA MATANO ,TUNAINGIA SAA 6 MCHANA KUTOKA SAA 11 JIONI
NB:Tafadhari!! Kama huna ushauri kuwa msomaji tu!!!
AHSANTEN!!