Biashara gani nzuri na ina faida ya mtaji wa Tsh Milioni 1?


Mkuu nipo interested na hii mifuko, tafadhal nipe connection
 
Braza itabid nikuchek aiseee
 
Tuwasiliane niko Kibada kuna biashara ya mifuko ya Jafafa unanunua mmoja 5000 unauza 8000 wateja wapo kwa kutosha sana
Dah Mkuu nipe connection nikuze Huu mtaji wangu mdogo..hali ni mbaya aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…