Biashara gani nzuri na ina faida ya mtaji wa Tsh Milioni 1?

Biashara gani nzuri na ina faida ya mtaji wa Tsh Milioni 1?

Inabeba mzigo wa tani moja ama kilo 1000 maranyingi inakuja na material toka nje ya nchi kwenye viwanda mbalimbali, material ikishatumika mifuko inauzwa kwa wahitaji ambao ni huko mikoani kama Iringa na kwenye machimbo ya madini
Hapa Dar kuna viwanda pia vinainunua kwa matumizi yao na kule kariakoo kuna wanaoinunua na kutengeneza turubaiView attachment 2165051

Daah hii ni biashara nzuri sana aisee, hasa kwa kipindi hiki kwa wakulima huko vijijini inafaa sana kupiga pesa
 
Back
Top Bottom