Samahani wana jamvi mm ni kijana nimetengeneza group langu la watu kama 40 na katka watu hao tunechanga sh 200000 kila mmoja jumla tuna taklim 8000000 katka cash asset yetu so tunataka tufanye biashara na bhado hatujajuwa tufanye biashara gani plz kwa wale woote wenye uzoefu wa mambo ya biashara plz naomba mtu shaur tufanye biashara gani inayoweza kutulipa cc we are forming like a group for business guyz plz naombeni msaada wenu
Asanteni sana...
mnaweza kufanya biashara ya kilimo au ufugaji wa kuku wa mayai, chotara na kufuga kiti moto kama dini inaruhusu. pia mnaweza mkafungua na kusajili saccos na kuitumia kuombea mikopo kwenye taasisi mbalimbali za kifedha.
Kwani mlipokua mnachanga hizo fedha mlikua na lengo la kufanyia biashara gani?Samahani wana jamvi mm ni kijana nimetengeneza group langu la watu kama 40 na katka watu hao tunechanga sh 200000 kila mmoja jumla tuna taklim 8000000 katka cash asset yetu so tunataka tufanye biashara na bhado hatujajuwa tufanye biashara gani plz kwa wale woote wenye uzoefu wa mambo ya biashara plz naomba mtu shaur tufanye biashara gani inayoweza kutulipa cc we are forming like a group for business guyz plz naombeni msaada wenu Asanteni sana...
Kwani mlipokua mnachanga hizo fedha mlikua na lengo la kufanyia biashara gani?
Lazima uhoji kwa sababu kabla hawajachanga hizo hela lazima walikua na mipango.Kitimoto ni baba ako na mama ako kwa maana nyingine vitimoto ni wazazi waliokuzaa.Kama huna ushauri kaa kimya, wewe unaanza kuhoji tena?? Kama angekuwa ame plan asingekuja kuomba ushauri hapa, kitimoto wewe,
Asante sana mkuu kwa ushaur bahati mbaya wanagroup wengi hawana kazi xo no ngumu kuipata hyo 50M brooo
Kama huna ushauri kaa kimya, wewe unaanza kuhoji tena?? Kama angekuwa ame plan asingekuja kuomba ushauri hapa, kitimoto wewe,
Poleni sana, mimi nawashauri msajili cooperative group au self help group. Kisha mtengeneze proposal ambayo hiyo 8m ndio itakua contribution yenu. Miradi mizuri ya kikundi kama cha kwenu na ambayo ni rahisi kupata misaada ni ya kilimo cha kisasa, ufugaji, uzoaji taka na ufiatuaji matofali
Nawatakieni vyema na mkumbuke biashara bila daftari huisha bila habari.
watu 40 na kila mmoja amechangia 200,000/laki mbili jumla ni 80,000,000/milioni 80
kweli wewe mathemacian ?
Kwa hyo mkuu kwa capital ya milion nane tunaweza tukaanzsha saccos yetu wenyewe then tukaitumia hyo kuombea mkopo kwenye taasisi za kifedha?
Umejieleza vizuuuri lkn hapo mwisho kingreza ndo ulipo tibua tu.Samahani wana jamvi mm ni kijana nimetengeneza group langu la watu kama 40 na katka watu hao tunechanga sh 200000 kila mmoja jumla tuna taklim 8000000 katka cash asset yetu so tunataka tufanye biashara na bhado hatujajuwa tufanye biashara gani plz kwa wale woote wenye uzoefu wa mambo ya biashara plz naomba mtu shaur tufanye biashara gani inayoweza kutulipa cc we are forming like a group for business guyz plz naombeni msaada wenu
Asanteni sana...
Hesabu kweli ni JANGA!!watu 40 na kila mmoja amechangia 200,000/laki mbili jumla ni 80,000,000/milioni 80