Lio 002
JF-Expert Member
- May 10, 2014
- 436
- 68
Samahani wana jamvi mm ni kijana nimetengeneza group langu la watu kama 40 na katka watu hao tunechanga sh 200000 kila mmoja jumla tuna taklim 8000000 katka cash asset yetu so tunataka tufanye biashara na bhado hatujajuwa tufanye biashara gani plz kwa wale woote wenye uzoefu wa mambo ya biashara plz naomba mtu shaur tufanye biashara gani inayoweza kutulipa cc we are forming like a group for business guyz plz naombeni msaada wenu
Asanteni sana...
Asanteni sana...