Wazo zuri sana.Nunua roli za kokoto na mchanga kisha nunua crasha za kusaga kokoto na changarawe lugoba,
Tafuta yadi mbagala,tegeta nk uwe unamwaga mzigo au ingia ubia na makampuni ya kutengeneza zege uwauzie kokoto.
Au kampuni za ujenzi
Umetaja kirahisi sana uwo mkopo anarejeshaje pia umweleze.Kama una bilioni jenga mjengo wa milioni 700 Ukimaliza utumie kuchukua mkopo bank jenga tena ukimaliza tumia mjengo wa pili kuchukua mkopo endelea hivyo hivyo.
Gold, nunua tz uza Switzerland ... , net profit around 7-12%Je, ni biashara gani unayo weza fanya yenye uwezo wa kuingiza milion 300 kwa mwaka kwa kutumia mtaji wa bilion 1?
Hakuhitaji Umafia kwenye kodi uchawi upo kwenye thamani ya jengo. Watu wanaita valuers kabla hawajaingia mjengo au kiwanja. Akidhania anaenda bank moja moja na valuation kuomba mkopo wa kufanya mambo yake.Labda uwe mafia kwenye ukusanyaji kodi
Anaizungusha katika biashara yeyote atakayokutana nayo katika utafutaji huku nyuma atakuwa anakula kodi ndogo.Umetaja kirahisi sana uwo mkopo anarejeshaje pia umweleze.
Ziko nyingi,nfano mashine ya kupandisha zege hadi Grofa ya 17 kwakukodisha.Je, ni biashara gani unayo weza fanya yenye uwezo wa kuingiza milion 300 kwa mwaka kwa kutumia mtaji wa bilion 1?
Mikopo ya bank na biashara wengi wameuziwa sana nyumba zao maana biashara nyingi ni pasua kichwa,ni nyepesi kwenye makaratasiHakuhitaji Umafia kwenye kodi uchawi upo kwenye thamani ya jengo. Watu wanaita valuers kabla hawajaingia mjengo au kiwanja. Akidhania anaenda bank moja moja na valuation kuomba mkopo wa kufanya mambo yake.
Achelewi kupigwa kitu feki wabongo sioGold, nunua tz uza Switzerland ... , net profit around 7-12%
Mikopo ya bank ndo mizuri unachotakiwa ni kujenga credit score na kuikuza Portfolio ya real estate. Wanaouziwa nyumba wanaweka tamaa na hawaweki kipaumbele cha kujenga reputation/jina kwenye Biashara. Ukiwa na Portfolio nzuri bank zinanunua mikopo. Na hizi bank zitakusumbua kabla hata haujaenda kukopa.Lets say nimekopa bank A nikajenga godown kibaha. Katika pilika pilika zangu bank B inaniambia nja uwezo wa kukopesheka kwa estate yangu lakini sijachukuwa nao mkopo. Kipindi Bank A naona malipo yatakuwa magumu naongea na Bank B then wanafanya utaratibu ule mkopo uhamie Bank B.Mikopo ya bank na biashara wengi wameuziwa sana nyumba zao maana biashara nyingi ni pasua kichwa,ni nyepesi kwenye makaratasi
Kwa mwaka unaweza usipate kazi hata mojaZiko nyingi,nfano mashine ya kupandisha zege hadi Grofa ya 17 kwakukodisha.View attachment 2768400View attachment 2768401View attachment 2768402View attachment 2768403
Labda kama sio developing Country,uwezi kujua biashara ambayo ujawai fanya.Kwa mwaka unaweza usipate kazi hata moja
Kitu cha kwanza unapotaka kufanya biashara yoyote ile ni lazima uijue kwa kufanya utafiti wa masoko bila kusahau wapinzani wako competitors, (market research and competitive analysis)Je, ni biashara gani unayo weza fanya yenye uwezo wa kuingiza milion 300 kwa mwaka kwa kutumia mtaji wa bilion 1?