Biashara gani ya haraka nifanye niwe billionea?

Lol
 
Fungua danguro , tafuta pisi Kali weka humo kwenye website anaza hosting utatoboa , ingine kafara watoe watu kafara utapata hela za haraka .

Ingine mazao
Hiyo biashara ya danguro bila shaka inalipa, naomba ufafanuzi zaidi
 
Kachukue mabinti kijijini, walishe kwa miezi miwili kisha anza kuwadangisha (kuwauza kwa wanaume). Utapiga hela mpk uzikimbie.
 
Sukuma ma biashara haramu ni chaap kwa haraka unatoboa.
 
Jifunze mazingaombwe hafu fungua kanisa, kiulaniiii unakuwa milionea tena hata serikali haikugusi ndo kwanza watu wa serkalini watakuwa miongoni wa waumini wako.
 
Kuna mtu humu anaitwa.
Mzizimkavu.
Mwone atakupatia Jini linalogawa hela nyingi sana.
Na kwa haraka sana.
 
Siri ya utajiri ni kusolve issues zinazosumbua watu (kutatua matatizo ya watu), kama uko bongo au popote ulipo tafuta tatizo gani watu linawasumbua sana watu then litafutie solution, ukiweza haitachukua muda kuwa billionaire
 
Kachukue mabinti kijijini, walishe kwa miezi miwili kisha anza kuwadangisha (kuwauza kwa wanaume). Utapiga hela mpk uzikimbie.
Ni kweli hakuna biashara inalipa kama umalaya na madawa, 99% ya wanaume wakipata pesa hizo bidhaa zinakuwa muhimu sana, lakini kupiga pesa za matajiri wa ukweli sophisticated network itahitajika kitu ambacho sio cheap
 
Huku newala kuna jamaa ana umua pesa, ukija na 10k anaiumua inakuwa 100k kwa 1M ukija na 15M anakupa 150M Mfumo ndio huo ila tu usikosee mashart kama wataka ubilionea njoo newala utamkuta.
 
Achaeni kushauriana upuuzi nyie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…