Rajab20190423
Member
- May 25, 2021
- 30
- 14
Za ngono labdaHapo kidogo umeanza kupost vya maana,ila wachangiaji wamekuwa kiduchu
LolUnajua kwa wenzetu nchi za watu kuna maduli mengi. Watu wangiza pesa kwa vitu vya kipuuxi
1. Kuuza kucha
2. Kuuza Ushuzi
3. Kuuza Nywele
4. Kuuza sperms tena kuna sperm banks
5. Kushiriki Experimental works hasa za scientist
6. Kufanya stunt works
7. Jiunge na Stripping like stripping clubs
8. Sell organs like kidneys
9. Eating competitions
10. There was this show on television people were paid by eating nasty bad stuff like experied milk or bad bread
Etc
Just saying ukitaka hela hamia nchi za wenzetu perhaps unaweza kuelekea kwenye ubilionea
Hiyo biashara ya danguro bila shaka inalipa, naomba ufafanuzi zaidiFungua danguro , tafuta pisi Kali weka humo kwenye website anaza hosting utatoboa , ingine kafara watoe watu kafara utapata hela za haraka .
Ingine mazao
Tafuta mjuzi zaidi fanya research kichini chini ila ushauri wangu watafute visu wenye shepu wapigishe pamba mzabzab atakuwa mteja wako sanaHiyo biashara ya danguro bila shaka inalipa, naomba ufafanuzi zaidi
Biashara ya kuchakata maganzo au kaboni za dhahabu
Ni kweli hakuna biashara inalipa kama umalaya na madawa, 99% ya wanaume wakipata pesa hizo bidhaa zinakuwa muhimu sana, lakini kupiga pesa za matajiri wa ukweli sophisticated network itahitajika kitu ambacho sio cheapKachukue mabinti kijijini, walishe kwa miezi miwili kisha anza kuwadangisha (kuwauza kwa wanaume). Utapiga hela mpk uzikimbie.
Ukisoma comment utajua kuwa Jamiiforum sio forum , ukilinganisha na forums kama Quora na Reddit
Nawezaje kupata connection kwenye hayo madawa sasakuwa tajiri haraka
*wizi
*madawa ya kulevya
*magendo
*kudhulumu
hapo utajiri utakuja haraka
Hivi kumbe vunja bei ni billionaire, hongera zakeNahitaji kuwa billionea kwa haraka sana kama Vunja Bei, Diamond Plantumz.
Ideas gani nzuri ya biashara kama nikija nayo nitafanikiwa kwa haraka sana.
Achaeni kushauriana upuuzi nyieNjia rahisi ya kua tajiri Ni hizi:
* Wizi
Hapa inatakiwa utumie akili Sana mfano kama upo kitengo flani serikalini au kampuni binafsi unaweza kupiga pesa za mradi ili mradi tu usishtukiwe ( lazima uhusishe na wengine)
* Utapeli
Kama una muda m-google jamaa Anaitwa hushpuppy yule mnaijeria hatari au gugo kuhusu Yahoo boys na mishe zao za utapeli wa mitando ukifanikiwa utakua umetusua fasta tu!
* Biashara haramu
Mfano kuuza dawa za kulevya Kama bangi na mirungi (unahitaji connection vinginevyo utaishia nyuma ya nondo)
* Kwepa kulipa Kodi
Unaweza kupiga dili za magendo Kama umewahi kuishi mipakani utaelewa kirahisi hii michakato
Na mengine mengi
Bila kusahau ndagu.kuwa tajiri haraka
*wizi
*madawa ya kulevya
*magendo
*kudhulumu
hapo utajiri utakuja haraka