Huku newala kuna jamaa ana umua pesa, ukija na 10k anaiumua inakuwa 100k kwa 1M ukija na 15M anakupa 150M Mfumo ndio huo ila tu usikosee mashart kama wataka ubilionea njoo newala utamkuta.
Nahitaji kuwa billionea kwa haraka sana kama Vunja Bei, Diamond Plantumz.
Ideas gani nzuri ya biashara kama nikija nayo nitafanikiwa kwa haraka sana.
Hata kama ukifanya hivyo ,bila nidhamu ya matumizi ya fedha ni sifuri,🤔kuwa tajiri haraka
*wizi
*madawa ya kulevya
*magendo
*kudhulumu
hapo utajiri utakuja haraka
Kilimo cha nyokaNahitaji kuwa billionea kwa haraka sana kama Vunja Bei, Diamond Plantumz.
Ideas gani nzuri ya biashara kama nikija nayo nitafanikiwa kwa haraka sana.
nenda zimbabwe ukauze vidoleNahitaji kuwa billionea kwa haraka sana kama Vunja Bei, Diamond Plantumz.
Ideas gani nzuri ya biashara kama nikija nayo nitafanikiwa kwa haraka sana.
Doh!
Jifunze cryptocurrencyNahitaji kuwa billionea kwa haraka sana kama Vunja Bei, Diamond Plantumz.
Ideas gani nzuri ya biashara kama nikija nayo nitafanikiwa kwa haraka sana.
Hao nyoka halafu unaweza wapi in large volume ili utajirike?Kilimo cha nyoka
Wa kisasa
Kama mabanda ya kuku yani ama maziziHao nyoka halafu unaweza wapi in large volume ili utajirike?