Kinumbo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 3,039
- 5,560
Hahahahaha
Huku newala kuna jamaa ana umua pesa, ukija na 10k anaiumua inakuwa 100k kwa 1M ukija na 15M anakupa 150M Mfumo ndio huo ila tu usikosee mashart kama wataka ubilionea njoo newala utamkuta.