Biashara haina dini

Biashara haina dini

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
IMG_1295.jpg

Mimi ni nani nibishe
 
Chamsingi pesa...ila nguruqe anaonewa sana sijui aliwakosea nini watu wa dini ile.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hii kiboko.

Kuna jamaa alikuwa anaogelea,kumbe mle kwenye dimbwi kuna "kiboko"sasa wale watizamaji wakamwona hiyo kiboko wakawa wanamuambia yule muogeleaji wee kibokooo weee kibokooo!!!jamaa nae kwa sifa akaona anasifiwa kumbe wana mualati kuwa kuna kiboko mle kwenye maji atoke,sasa tule jamaa kwa sifa akaendelea kupiga mbizi hatimae akauliwa...
Umenielewa lakini???
 
Back
Top Bottom