1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Salon ya kike,, Hapa kuna Wateja ambao ni Mashuga mamy,Wakujiuza,Waloshindikana,,, Watamjaza ujinga Mkeo hadi afanane nao, watampa mbinu zote ambazo hazijui,, Ipo siku braza utarusha ngumi
Mgahawa,, Hapa watakuja wateja masikini na matajiri,,, hao wenye pesa lazima kuna siku utarusha ngumi
Bar/Grosary,, Hapa ndo shida kabisa wateja wakilewa hawakawii kumshika tako mkeo kimasiaramasira tu na kiutan utani,, watu hawaoni hatari kuacha mshahara,, Utagombana na watu mkuu
Mgahawa,, Hapa watakuja wateja masikini na matajiri,,, hao wenye pesa lazima kuna siku utarusha ngumi
Bar/Grosary,, Hapa ndo shida kabisa wateja wakilewa hawakawii kumshika tako mkeo kimasiaramasira tu na kiutan utani,, watu hawaoni hatari kuacha mshahara,, Utagombana na watu mkuu