Biashara hii ina faida kupita biashara zote

Mi nataka compressor machine ya kutobolea mawe ili yavunjwe na baruti
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada angu offer yangu ni million 1.5 _mpaka million 2 kwa mwezi.

Dreva wangu na services ndogo zitakuwa juu yangu.

Ukubwa Wa body uwe unaanzia walau 4.5m square.


Mengineyo; ni pm Dada angu, tuongee vizuri.
Ongeeni hapa hapa hamna cha pm..mkitapeliana msije jukwaan iishie huko huko pm
 
Tabu Ni makato,Kodi,ushuru,,
Yaani ukutwe na lundo la mchanga tu,unaambiwa lipia ushuru milioni 15 kea mwaka,,jamaa mmoja mwenye nalo nilimsikia analalamika
 
Lipia tangazo lako libaba pesa
 
Ukiwekeza kwa Geita maeneo ya Nyaruyeye na Nyarugusu,na kule Katoro itakulipa sana kiroba cha mawe cha 25kg miaka hile ya 2006 walikuwa wanasaga kwa 7000/= ss hivi nafikiri ni zaidi ya 10,000/= kusaga 25Kg inachukua dakika 24 mpaka 30minutes .
Hiyo kwa saa unaingiza si chini ya 20,000/= zidisha kwa masaa 20 unapata 400,000/= kwa siku kama faida japo kuna wengine mnaweza kukubaliana malipo yatafanyika intern of percentage ya kiasi cha gold itakayopatikana .
Kifupi ni biashara nzuri sana kuifanya kama una mtaji .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…