mimi huyu huyu
Member
- Feb 8, 2015
- 88
- 34
Habari wadau wa sheria
Mimi nimepata frame nataka nifungue biashara ya juices za aina mbalimbali kama ya miwa, ukwaju na matunda. . . Pia baadae kuweka na chips na vyote vinavyoambatana na hivyo kama mayai, kuku, mishkaki nk. . . Je kwa biashara hii nalazimika kuwa na leseni ya biashara na kulipa kodi?
Msaada tafadhali wadau
Mimi nimepata frame nataka nifungue biashara ya juices za aina mbalimbali kama ya miwa, ukwaju na matunda. . . Pia baadae kuweka na chips na vyote vinavyoambatana na hivyo kama mayai, kuku, mishkaki nk. . . Je kwa biashara hii nalazimika kuwa na leseni ya biashara na kulipa kodi?
Msaada tafadhali wadau