Biashara hii kutoboa lazima

Matajiri wa jf wabishi sana.. mleta fursa anakuambieni tyres nyie mnaleta ujuaji eti tiles acheni ubishi basi changamkieni fursa hiyo mkuze vipato tyres for everybody
 
Ukileta jambo lako jamii uwe umenijapnga vyema,usijekusema vijana wa sasa ni hovyo wakati wewe umeandika muharo,ungeeleza kwanini unafikiria kuwa kwenye eneo lako ukweka hardware unatoboa??
 
Nina eneo langu lipo barabarani kabisa... Maeneo ya Tegeta.. Huku ndo watu wanajenga sana sasa hivi, zipo hardware uchwara ambazekeza hapo tufanye jambo... ( KUTOBOA LAZIMA) kama
Watu wapo isipokuwa vigeugeu wengine siku hz
 
Hivi yule fredrick kimaro yupo ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…