milionea wa kesho
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 328
- 631
kikondo ipo wilaya gan mkuu....na bei ya huko ikoje ukilinganisha na mbeya.Me naishi mbeya na nashauri viazi usichukue mbeya... chukua mahali flani panaitwa kikondo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kikondo ni iringa naisi... wafanya biashara wakubwa wa viazi mbeya huwa wanajumua ukokikondo ipo wilaya gan mkuu....na bei ya huko ikoje ukilinganisha na mbeya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kikondo ni iringa naisi... wafanya biashara wakubwa wa viazi mbeya huwa wanajumua uko
Sent using Jamii Forums mobile app
Kikondo sio iringa ni mbeya vijijini karibu na mbuga za kitulo nilishawahi kufika huko usafiri ni changamoto Sana bora uchukue sehemu inaitwa tokela IPO wilaya ya rungwe, lakn ujue hyo 2m inatosha nauli pekee kutoka Mby mpk domKikondo ni iringa naisi... wafanya biashara wakubwa wa viazi mbeya huwa wanajumua uko
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kweli viazi vingi vinapatikana bara bara ya Tukuyu na hasa hapo Ntokela ila mtaji unasema wa mazao Million mbili haitoshi hata akianza kwa kuchukua gunia chache akapakia kwa maroli tupu yanayotoka Malawi mpaka Iringa na Iringa akaunga lingine mpaka Dodoma haitawezekana au kuchanganya mzigo kwa wafanyabiashara wengine wanaopeleka Dodoma...Kikondo sio iringa ni mbeya vijijini karibu na mbuga za kitulo nilishawahi kufika huko usafiri ni changamoto Sana bora uchukue sehemu inaitwa tokela IPO wilaya ya rungwe, lakn ujue hyo 2m inatosha nauli pekee kutoka Mby mpk dom
Wafanya biashara wengi wa viazi mviringo na wakulima wanapenda mbegu /kiazi cha kikondo ni vizuri kwakweliMe naishi mbeya na nashauri viazi usichukue mbeya... chukua mahali flani panaitwa kikondo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kikondo sio iringa ni mbeya vijijini karibu na mbuga za kitulo nilishawahi kufika huko usafiri ni changamoto Sana bora uchukue sehemu inaitwa tokela IPO wilaya ya rungwe, lakn ujue hyo 2m inatosha nauli pekee kutoka Mby mpk dom
Barabara mbovu sana kule lami imeishia isyonji na kitulo nilienda DecemberNtokela na sio Tokela
Usafir ni changamoto kiaje?
Na Mara ya mwisho kufika kitulo ni lini mkuu.
maybe kwa ushauri huu anaweza akajaribuMkuu kweli viazi vingi vinapatikana bara bara ya Tukuyu na hasa hapo Ntokela ila mtaji unasema wa mazao Million mbili haitoshi hata akianza kwa kuchukua gunia chache akapakia kwa maroli tupu yanayotoka Malawi mpaka Iringa na Iringa akaunga lingine mpaka Dodoma haitawezekana au kuchanganya mzigo kwa wafanyabiashara wengine wanaopeleka Dodoma...
Ushauri mzuri lakini kumbuka Kikondo ni mbeya pia. Ipo wilaya ya Mbeya Vijijini.Me naishi mbeya na nashauri viazi usichukue mbeya... chukua mahali flani panaitwa kikondo
Sent using Jamii Forums mobile app
Anamkatisha tamaa tu. Gunia moja huko ntokela ni elfu 15. Hivyo anaweza nunua viazi vya 1.5m na hiyo 500k akatumia kwa usafiri huu wa kuunga kwa gari za transit zikiwa zinarudi.Mkuu kweli viazi vingi vinapatikana bara bara ya Tukuyu na hasa hapo Ntokela ila mtaji unasema wa mazao Million mbili haitoshi hata akianza kwa kuchukua gunia chache akapakia kwa maroli tupu yanayotoka Malawi mpaka Iringa na Iringa akaunga lingine mpaka Dodoma haitawezekana au kuchanganya mzigo kwa wafanyabiashara wengine wanaopeleka Dodoma...
Me nilikua najua ni iringaUshauri mzuri lakini kumbuka Kikondo ni mbeya pia. Ipo wilaya ya Mbeya Vijijini.
Anamkatisha tamaa tu. Gunia moja huko ntokela ni elfu 15. Hivyo anaweza nunua viazi vya 1.5m na hiyo 500k akatumia kwa usafiri huu wa kuunga kwa gari za transit zikiwa zinarudi.
Bei ya kuuzia gunia moja kwa haraka ni 45-50k. Akijipanga soon anatoboa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua mkuu, ndio maana nimesema atumie usafiri wa kuunga kwa gari za transit zinazorudi. Hiyo ni hela ya dereva na utingo. Hakuna hesabu kwa tajiri hapo.
Kwa ushaur wenu anaweza akatumia wiki 3 kufka dodomaNajua mkuu, ndio maana nimesema atumie usafiri wa kuunga kwa gari za transit zinazorudi. Hiyo ni hela ya dereva na utingo. Hakuna hesabu kwa tajiri hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app