milionea wa kesho
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 328
- 631
Wakubwa nafikiria kuanza biashara ya mazao kutoka mbeya kuja dodoma. Nawaza nianze na mchele, maharagwe na viazi vya chipsi.
naomba summary ya bei za mazao hayo kwa mikoa ya mbeya na dodoma na pia changamoto zake zikoje.
Natarajia kuanza na mtaji wa 2M.
Sent using Jamii Forums mobile app
naomba summary ya bei za mazao hayo kwa mikoa ya mbeya na dodoma na pia changamoto zake zikoje.
Natarajia kuanza na mtaji wa 2M.
Sent using Jamii Forums mobile app