Biashara hizi zaweza kuanzishwa bila kuwa na mtaji (pesa) mkubwa au bila mtaji kabisa

Biashara hizi zaweza kuanzishwa bila kuwa na mtaji (pesa) mkubwa au bila mtaji kabisa

ha ha ha! Umenifurahisha saana... Basi nitaboresha ujuzi namie nifundishe. Lol, I am humbled.

una kitu flani ila bado sijajua ni nini!!..sijui niseme ni mwalimu sijui mwanasaikolojia sijui mwezeshaji i dont real know...point yangu ya msingi una kitu flan,jifanyie study then uimalishe hicho kitu..

Ivi umeshawai kuandika chochote may be kitabu au article ukaitoa sehemu??
 
Malila kama hutajali toa mwongozo unaokuwezesha ili wengi tuweze kunufaika... BTW naomba kujua unadhani kuna uwezekano kuwa hio kazi kwa mhindi ipo hati hati ya kuweza iacha sababu ya hii kazi yako ulioanza kama mzaha?

Nitachangia kidogo,
Niliiangalia jamii inayonizunguka nikagundua mahitaji muhimu kwa jamii yangu, na nikaona mimi naweza kutoa majibu ya mahitaji haya. Jamii yangu ilipungukiwa mtu anayemaanisha, Nikasimama nikawaambia marafiki zangu kuwa tufanye hivi ili na sisi tujikomboe na hili tatizo la kiuchumi. Nilianza na watu wa kawaida aka wakeshahoi, waliponielewa, mimi nikapanda daraja na wao wakasogea mbele, kwa hiyo wote tukasogea. Mimi nilitoa mafundisho bure, kwa moyo halafu bila kuwapotezea muda wao kwa longo longo nyingi na tulikubaliana kuwa tufanye kwa vitendo zaidi.

Ili nifanikiwe sikutaka kutumia matatizo ya jamii kujinufaisha,nilitaka wote tufanikiwe. Ni dhambi kuficha maarifa uliyonayo kwa sababu kanuni ya Mungu ni kwamba, toa kwanza ili upokee zaidi. Natumia lugha rahisi sana kufundisha ili kila mtu aweze kunielewa,sifundishi kitu ambacho mimi sijafanya. Sipendi kumilikiwa na daraja fulani la jamii, mimi ni wa watu wote.

Ngoja nirudi kwa mhindi wangu, tutaonana baadae.
 
Nitachangia kidogo,
Niliiangalia jamii inayonizunguka nikagundua mahitaji muhimu kwa jamii yangu, na nikaona mimi naweza kutoa majibu ya mahitaji haya. Jamii yangu ilipungukiwa mtu anayemaanisha, Nikasimama nikawaambia marafiki zangu kuwa tufanye hivi ili na sisi tujikomboe na hili tatizo la kiuchumi. Nilianza na watu wa kawaida aka wakeshahoi, waliponielewa, mimi nikapanda daraja na wao wakasogea mbele, kwa hiyo wote tukasogea. Mimi nilitoa mafundisho bure, kwa moyo halafu bila kuwapotezea muda wao kwa longo longo nyingi na tulikubaliana kuwa tufanye kwa vitendo zaidi.

Ili nifanikiwe sikutaka kutumia matatizo ya jamii kujinufaisha,nilitaka wote tufanikiwe. Ni dhambi kuficha maarifa uliyonayo kwa sababu kanuni ya Mungu ni kwamba, toa kwanza ili upokee zaidi. Natumia lugha rahisi sana kufundisha ili kila mtu aweze kunielewa,sifundishi kitu ambacho mimi sijafanya. Sipendi kumilikiwa na daraja fulani la jamii, mimi ni wa watu wote.

Ngoja nirudi kwa mhindi wangu, tutaonana baadae.


Asante Malila kwa haya maelezo... Ingawa nimeshindwa kukupata. Naomba tuwe realistic kidogo. Katika jamii ya leo ni wachache ambao wanaweza tumia mda wao mwingi kwa kitu ambacho akiwaingizii pato lolote.

Ulizungumza katika post ya awali kuwa inakuingizia pato kubwa na kuna faida zaidi, hii post naona unazungumza kana kwamba hio service unayotowa ni buree kabisa. Naomba kuelewesha mana umeniacha njia panda.

Nilivyouliza namna na njia ulizotumia nikajua hapa sasa napata muongozo wa toka ulipo anza hadi ulipofika, ikiwezekana na kukua kwa pato kwa asilimia. Take note; hapa walengwa sana ni wale ambao maisha ni magumu, hawana kipato na saa ingine hawana hope ya kuweza fanya lolote ili kuhimili maisha yao kwa chochote watacho pata.
 
Asante Malila kwa haya maelezo... Ingawa nimeshindwa kukupata. Naomba tuwe realistic kidogo. Katika jamii ya leo ni wachache ambao wanaweza tumia mda wao mwingi kwa kitu ambacho akiwaingizii pato lolote.

Ulizungumza katika post ya awali kuwa inakuingizia pato kubwa na kuna faida zaidi, hii post naona unazungumza kana kwamba hio service unayotowa ni buree kabisa. Naomba kuelewesha mana umeniacha njia panda.

Nilivyouliza namna na njia ulizotumia nikajua hapa sasa napata muongozo wa toka ulipo anza hadi ulipofika, ikiwezekana na kukua kwa pato kwa asilimia. Take note; hapa walengwa sana ni wale ambao maisha ni magumu, hawana kipato na saa ingine hawana hope ya kuweza fanya lolote ili kuhimili maisha yao kwa chochote watacho pata.

Ngoja nikufafanulie kwa mfano,

Pamoja kwamba mimi niko kwa Mhindi, lakini nafuga, nina wale kuku wenye viguu vifupi lakini wanataga mayai mengi sana ya kienyeji na wewe unataka kuanza kufuga kuku wa kienyeji kwa ajili ya mayai. Mimi nitakupeleka shambani/bandani kwangu, nitakuonyesha namna ya kuku huyu anavyotunzwa, namna ya kuweka kiota cha kutagia mayai, nitakuonyesha namna ya kutumia madawa ya kienyeji nk Sitakuchaji kitu, kisha tunaagana.

Sasa kama unamaanisha na somo limekuingia, step itakayofuata ni utekelezaji kwako,hapa ndipo mimi ninapoanza kupata malipo yangu kwa haki kwa bei halali, ama utataka nikuuzie mbegu ya kuku wale ambao hawapatikani sasa hivi au utasema nikutafutie. Wanafunzi wengine wenye nguvu nawaelekeza walipo hawa kuku wakafuate wenyewe, lakini wanaporudi kutoka huko wanabeba na kuku wangu, kumbuka wengi huwa waungwana hawanichaji gharama za usafirishaji, kwa hiyo hawa wanafunzi wangu wenye nguvu kidogo nawajulisha kuwa mzigo wenu umefika, wanakuja wanalipia mzigo ( cash au wanakopa). Mzunguko huu unaendelea na unapanuka. Siku nyingine naletewa mzigo bure kabisa kama asante kwa elimu.

Hata usiku huu kuna mwanafunzi wangu mwingine anasaidia wengine na mimi ananisaidia kupunguza gharama za project.

Kupitia maelezo haya umefanikiwa kupata kitu?
 
una kitu flani ila bado sijajua ni nini!!..sijui niseme ni mwalimu sijui mwanasaikolojia sijui mwezeshaji i dont real know...point yangu ya msingi una kitu flan,jifanyie study then uimalishe hicho kitu..

Ivi umeshawai kuandika chochote may be kitabu au article ukaitoa sehemu??


Matumbo nasoma saana, naandika saana. Ila so far I only share yale niandikayo niliyowahi post hapa Jf. Mengi ya niandikayo ni kama 'for my eyes only'. Naona bado haijafika katika kiwango cha kuweza toa hasa kitu ninachotaka. Nataka niwe na uwezo wa kuelezea matukio; kila tukio lioneshe ni jinsi gani lina two sides of the coins... Niwe na uwezo wa kumuweka msomaji aweze kujudge atakapo pata mapungufu na strength ya tukio ama mhusika. Bado am mastering that... Kila nikiandika nikifika mahala nakuwa sijaridhika naanza upya! Sometimes I think labda siwezi kuwa good writter, labda critic. Ajabu ni kuwa sababu ni msomaji mzuri, naweza sana kutoa mapungufu ya vitu vingine nilivyosoma... Ila nashindwa kufanyia kazi ya kwangu katika uandishi. Naona mapungufu ila bado sijaona njia ya kuyakosoa.

Uliloniongelea hapo juu ni la msingi saana. Natamani ningeweza hilo ambalo umesema nifanye... Ni ngumu sana kupata jibu juu yangu kwa kitu ambacho hata wewe umeshindwa tia kidole. Hivo matumaini yangu ni kuwa tu labda iko siku utapata jibu na utanishirikisha kwa kunielewesha... Nje ya hapo, I am really humbled Matumbo, as a Woman I am proud pale ninapo sifiwa ama elezewa positively. Pamoja saaana.
 
Ngoja nikufafanulie kwa mfano,

Pamoja kwamba mimi niko kwa Mhindi, lakini nafuga, nina wale kuku wenye viguu vifupi lakini wanataga mayai mengi sana ya kienyeji na wewe unataka kuanza kufuga kuku wa kienyeji kwa ajili ya mayai. Mimi nitakupeleka shambani/bandani kwangu, nitakuonyesha namna ya kuku huyu anavyotunzwa, namna ya kuweka kiota cha kutagia mayai, nitakuonyesha namna ya kutumia madawa ya kienyeji nk Sitakuchaji kitu, kisha tunaagana.

Sasa kama unamaanisha na somo limekuingia, step itakayofuata ni utekelezaji kwako,hapa ndipo mimi ninapoanza kupata malipo yangu kwa haki kwa bei halali, ama utataka nikuuzie mbegu ya kuku wale ambao hawapatikani sasa hivi au utasema nikutafutie. Wanafunzi wengine wenye nguvu nawaelekeza walipo hawa kuku wakafuate wenyewe, lakini wanaporudi kutoka huko wanabeba na kuku wangu, kumbuka wengi huwa waungwana hawanichaji gharama za usafirishaji, kwa hiyo hawa wanafunzi wangu wenye nguvu kidogo nawajulisha kuwa mzigo wenu umefika, wanakuja wanalipia mzigo ( cash au wanakopa). Mzunguko huu unaendelea na unapanuka. Siku nyingine naletewa mzigo bure kabisa kama asante kwa elimu.

Hata usiku huu kuna mwanafunzi wangu mwingine anasaidia wengine na mimi ananisaidia kupunguza gharama za project.

Kupitia maelezo haya umefanikiwa kupata kitu?

Baby steps Malila… Baby steps.

Nakupata taratiibu… Naomba nikiri kuwa umenichanganya kabisaaaa! Umenifanya nianze tena kusoma post zangu. Nikajisemea rohoni huyu Malila anajua kuwa amehama hoja? Awali tulikuwa tukizungumzia ‘Ualimu' tena basi ulisema toka mapema kuna mtoto wa jirani ulianza nae; usingetaja kuwa ni mtoto moja kwa moja kwa maelezo ya post hii ningechukulia kuwa ndio elimu ulikuwa ukitoa kwa watu wazima.

Hata hivyo nishukuru kwa hii taarifa ya ufugaji… Naona nijiwekee taratibu ya kuweza hili maana ninavyo amini mimi nitachinja kuku woote wataisha tu! Hahaha

Ufugaji siwezi, hasa wa kuku. Ila Inshaallah, Mwenye Mungu akiniwezesha nataka nijiingize katika kilimo na kama ufugaji labda wa ng'ombe.

Asante kwa darasa… Kwa maelezo haya nimefanikiwa kupata kitu. Pamoja Saana.
 
Baby steps Malila… Baby steps.

Nakupata taratiibu… Naomba nikiri kuwa umenichanganya kabisaaaa! Umenifanya nianze tena kusoma post zangu. Nikajisemea rohoni huyu Malila anajua kuwa amehama hoja? Awali tulikuwa tukizungumzia ‘Ualimu' tena basi ulisema toka mapema kuna mtoto wa jirani ulianza nae; usingetaja kuwa ni mtoto moja kwa moja kwa maelezo ya post hii ningechukulia kuwa ndio elimu ulikuwa ukitoa kwa watu wazima.

Hata hivyo nishukuru kwa hii taarifa ya ufugaji… Naona nijiwekee taratibu ya kuweza hili maana ninavyo amini mimi nitachinja kuku woote wataisha tu! Hahaha

Ufugaji siwezi, hasa wa kuku. Ila Inshaallah, Mwenye Mungu akiniwezesha nataka nijiingize katika kilimo na kama ufugaji labda wa ng'ombe.

Asante kwa darasa… Kwa maelezo haya nimefanikiwa kupata kitu. Pamoja Saana.

Ualimu uko aina nyingi sana, huyu mtoto nilikuwa namfundisha hesabu, akaita marafiki zake,wakati huo nilikuwa bado sina majukumu, wale watoto walifanya vizuri ktk masomo yao. Mzazi mmoja aliniita na kuniambia kuwa naweza kuwa mwalimu mzuri, hakuishia hapo tu, alinipa kitu kizuri sana. Nimejikuta naendeleza tabia ya kufundisha ktk maeneo mengi yanayonizunguka na inanilipa vizuri.

Mwanzoni nilikwambia kuwa mimi nafundisha kuvua samaki sio kugawa samaki, kwa hiyo darasa ninalotumia ni lazima liwe na nyenzo halisi halafu liwe langu mwenyewe. Hata leo kama ningerudi shule ningesomea Ualimu ili iwe taalumu yangu rasmi.
 
Ualimu uko aina nyingi sana, huyu mtoto nilikuwa namfundisha hesabu, akaita marafiki zake,wakati huo nilikuwa bado sina majukumu, wale watoto walifanya vizuri ktk masomo yao. Mzazi mmoja aliniita na kuniambia kuwa naweza kuwa mwalimu mzuri, hakuishia hapo tu, alinipa kitu kizuri sana. Nimejikuta naendeleza tabia ya kufundisha ktk maeneo mengi yanayonizunguka na inanilipa vizuri.

Mwanzoni nilikwambia kuwa mimi nafundisha kuvua samaki sio kugawa samaki, kwa hiyo darasa ninalotumia ni lazima liwe na nyenzo halisi halafu liwe langu mwenyewe. Hata leo kama ningerudi shule ningesomea Ualimu ili iwe taalumu yangu rasmi.

Safi saana inapendeza... Wanasema 'Knowledge is power' hujafikiria kusomea ualimu hata kwa njia ya 'Open University?' inaweza kuwa ya tija na manufaa huko mbele.

All in all inaonekana mwenzetu unajua nini unataka, nini ufanye na wapi unaelekea. Which is really good na ni wachache wenye bahati ya kuwa nayo. Kila la Kheri...
 
Safi saana inapendeza... Wanasema 'Knowledge is power' hujafikiria kusomea ualimu hata kwa njia ya 'Open University?' inaweza kuwa ya tija na manufaa huko mbele.

All in all inaonekana mwenzetu unajua nini unataka, nini ufanye na wapi unaelekea. Which is really good na ni wachache wenye bahati ya kuwa nayo. Kila la Kheri...

Asante,

Niliwahi kupitia kidogo,

Umewahi kujiuliza yule jamaa anayetembea nchi nzima akitufundisha jinsi ya kunywa maji? Kula matunda kwa mpangilio alianzaje? Kwa taarifa yako jamaa ni maarufu kuliko madakitari bingwa.

Nimekupa PM ili uone kinachoendelea nyuma ya pazia.
 
Watu wengi huko mtaani nikiwaulizaga ni kwanini yeye ni maskini ananiambia kwamba kama agepata milioni 150 angeanzisha biashara ya maana. Lakini utamkuta amekaa sehemu hiyo hiyo moja kila siku mchana kutwa akilalamikia serikali kwa nini haimpi ajira. Ajui kwamba ajira sio serikalini tu. Serikali ina ajira zake. Serikali inaajiri asilimia ndogo sana ya positions zake na ajira zinazobaki zinapatikana kwenye sekta binafsi ambayo ni makampuni binafsi na kujiajiri. Ieleweke kwamba hata matajiri wemhi duniani walianza na mitaji midogo sana, muulize Mengi na Bakhresa watakuambia. Inachotakiwa ni kujiamini na kujibana ili uukuze mtaji na pia tujifunze kuacha kufikiria watu wengine watatufikiriaje tukianza na mitaji modogo. Kuwa na mafanikio ni tofauti na kuwa tajiri, so unaweza ukaanza na mtaji mdogo kabisa na kuukuza ukawa tajiri kabisa. Siku hizi kila biashara inalipa na sio lazima uwe umepitia chuo kikuu kufanikiwa kimaisha. Waulize matajiri wa mabasi watakuambia.

Ukichagua idea moja kati ya hizo alizoorothesha huyo jamaa hapo juu ukaweka effort na kuacha kuangalia ishu za watu wengine na kufanya biashara yako na kujibana, then mtaji wako utakuwa na pia kuacha kufikiria kuwa tajiri fasta, kwasababu eventually utakuwa tajiri baada ya muda flani kama ukijituma sana. Kama wengine wamekuwa na mafanikio kwa nini nawe usiwe?

Kuna njia kadhaa za kutafuta mtaji wa kuanzia biashara:

1. Kupitia kukopa kwa ndugu, rafiki na jamaa
2. Kukopa benki (ambapo kwasasa ktk nchi yetu mfumo wake si mzuri sana, ila ukiishaianzisha wanaweza kukupa maana mabenki wanatoa mikopo kwa biashara zilizoanza tayari)
3. Kama tayari biashara yako imeshaanza, unaweza uza hisa watu watoe hela ili wawe na asilimia flani za umiliki
4. Anza na biashara zisizohitaji mitaji kabisa

Jinsi ya kuanzisha biashara yenye mafanikio.
Mimi nasomea biashara na tunafundishwa kwamba kuna aina mbalimbali za mifumo ya biasha, aidha uanzishe mwenyewe au na partner n.k. Sasa tunaambiwa kwamba ukianzisha na partner unakuwa na mafanikio zaidi kuliko ukianzisha mwenyewe, mfano makampuni yotemakubwa duniani wameanzisha ma partners: google, microsoft, oracle, apple, n.k. Faida ya upartner ni kuchangia ujuzi na resources. Mfano wewe una elimu flani mwenzako ana hela, au yeye ana ujuzi wewe una connections na watu flani flani. Pia partnerships tax zake si kubwa. Sema partners lazima muwe mnaaminiana sana hata kama mko wengi.

Ideas zisizohitaji pesa nyingi:

1. kinyozi
2. kuuza matofali (veta wana mashine za kufyatulia matofali za bei rahisi kabisa)
3. Kibanda cha chipsi, ice cream, vocha, n.k
4. Duka dogo la reja reja

Anza kidogo then unakua baada ya muda flani. Usiogope kuanza na mtaji mdogo, maana ndo matajiri walianza hivyo na baada ya biashara zao kukua kidogo, ndo wanatokea watu wanawekeza kwenye biashara yako.

Siri nyingine ni kwamba kama utaamua kuandikia biashara yako kuwa kampuni, ukienda brela kuna aina kadhaa za makampuni mfano sole propriatorship (uliyoianzisha wewe mwenyewe), partnerships n.k. Hakunaga investor anayewekeza kwenye sole proprietoship. Ndo maana hata benki hawatoi mikopo kwenye vibiashara vya mtu mmoja mmoja kwasababu sole proprietorships (kampuni iliyoanzishwa na mtu mmoja mmoja) hairusiwi kuuza shares. So anzisha na partner ili muda wowote kama mnata kuongeza capital yenu mtu yeyote anajiunga nanyi na kwekeza kiasi cha pesa. Ntakupa mfano wa facebook.

Mark zakabegi alipokuwa anaanzisha facebook alikuwa na ujuzi wa programming tu, hana hela wala nini. Ikabidi aanzishe partnership na rafiki zake eduardo na mwingine. Eduardo aliwekeza 15,000 dollars ndo ikafanya hata wawe na ofisi badala ya bwenini walikoianzishia facebook. So kampuni yao ikawa partnership. Baada ya muda kampuni ikawa imekua ndo akatokea jamaa mmoja akawekeza 500,000 dollar akapewa asilimia kadhaa ya shares na ndo hapo facebook ilipopaa kimafanikio. So usiogope kuanza na partner.

Cheers
 
Sina hakika,ila kwa hili nadhani inabidi uwe na connection za kupata kazi,mana inawezekana nako kuna kujuana mana ni tenda.
Pia wawe wanalipa haraka ili wanaosafisha uwalipe mapema.


Kazi ya usafi maofisini (kama mkiwa mmejikusanya kama kikundi)

huitaji mtaji wala watu wengi, if you got the deal unaweza ajiri watu for day payment
 
asante kwa kutuhabarisha ila cha msingi uwe na mtaji labda udalali kwani huo hauna mtaji na mtaji wake uwe mzungumzaji mwenye uzoefu wa kutosha sana
 
Binafsi najipigia debe. Ni msomi mzuri, ningependa kuwasaidia wasomi wa vyuo vikuu katika kuedit documents zao kisomi na kuziweka sawa kwani najua lugha ni tatizo kubwa hasa kama umetokea kwenye mkondo huu wa elimu ya siku hizi. Pia naweza kuwasaidia newspaper na media houses katika proofreading ya magazeti yao - ya Kiswahili na Kiingereza pia.
Karibuni wasomi!
 
Aisee u guys mmenifanya niwaze Sana hapa kitandani....Nina kitu ndani yangu kikubwa Sana!I know Mimi si Wa level hii niliyopo...kuna mahali natakiwa kufika lakin sijui ni nini kinanikwamisha kufika huko!I think Nina fear of daring to start do something!..yaan nasoma haya maoni hapa nafunguka akili vibaya!dah..ninatakiwa kuanza kufanya kitu aisee
 
Ngoja nikufafanulie kwa mfano,

Pamoja kwamba mimi niko kwa Mhindi, lakini nafuga, nina wale kuku wenye viguu vifupi lakini wanataga mayai mengi sana ya kienyeji na wewe unataka kuanza kufuga kuku wa kienyeji kwa ajili ya mayai. Mimi nitakupeleka shambani/bandani kwangu, nitakuonyesha namna ya kuku huyu anavyotunzwa, namna ya kuweka kiota cha kutagia mayai, nitakuonyesha namna ya kutumia madawa ya kienyeji nk Sitakuchaji kitu, kisha tunaagana.

Sasa kama unamaanisha na somo limekuingia, step itakayofuata ni utekelezaji kwako,hapa ndipo mimi ninapoanza kupata malipo yangu kwa haki kwa bei halali, ama utataka nikuuzie mbegu ya kuku wale ambao hawapatikani sasa hivi au utasema nikutafutie. Wanafunzi wengine wenye nguvu nawaelekeza walipo hawa kuku wakafuate wenyewe, lakini wanaporudi kutoka huko wanabeba na kuku wangu, kumbuka wengi huwa waungwana hawanichaji gharama za usafirishaji, kwa hiyo hawa wanafunzi wangu wenye nguvu kidogo nawajulisha kuwa mzigo wenu umefika, wanakuja wanalipia mzigo ( cash au wanakopa). Mzunguko huu unaendelea na unapanuka. Siku nyingine naletewa mzigo bure kabisa kama asante kwa elimu.

Hata usiku huu kuna mwanafunzi wangu mwingine anasaidia wengine na mimi ananisaidia kupunguza gharama za project.

Kupitia maelezo haya umefanikiwa kupata kitu?

Ubarikiwe
 
Back
Top Bottom