hagau
JF-Expert Member
- Dec 17, 2023
- 696
- 2,501
Hawana hoja hao, wana vihojaStand ya magufuli mbona aliikamilisha, au uliikamilisha wewe? Barabara za juu Tazara na Ubungo nazo ulizikamilisha wewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana hoja hao, wana vihojaStand ya magufuli mbona aliikamilisha, au uliikamilisha wewe? Barabara za juu Tazara na Ubungo nazo ulizikamilisha wewe?
Ni kweli tabu mitaji ni midogo unajitahidi angalau uajiri na upate atakayekuibia kidogo wakati ukijipanga na mengine.Biashara inahitaji usimamizi wa karibu sana kama sio wewe basi mume/Mke.
Kuweka mfanyakazi halafu unamlipa mshahara huku unaenda kukagua duka kwa nadra hiyo biashara itakufa.
Labda kama hilo duka la mkataba kwamba ulishakaa hapo kama miezi 6 umeshapiga hesabu zako kwa mwezi labda faida 1M
Unaingia mkataba na muuzaji kwamba kwa mwezi akupe labda laki 6 ila sharti awe analipa bili zote na kodi na kinachobaki ni mshahara wake.
Kwahiyo muuzaji anaweza kupambana zaidi kwa mwezi akapiga hata faida ya 1.2M akakupa 600K yeye akabaki na mgao mkubwa zaidi baada ya kutoa matumizi yote na mtaji wako upo.
Yaan frem ni gharama...Fremu asiee singekuwa Bei nafuu angalau nawahurumia watu Wana lipia milion 18 kwa mwaka kwa fremu tu bila tra jiji
Ni stress tupu kwa kweli nawaonea huruma wakuu
Ni noma mbona Hali imekuwa ngumu iv napata invoice za ndugu wengi na mm cn maisha cjui nitumie yup nimuache yupi.Yaan frem ni gharama...
Mtu unakuta unafanya biashara...pesa yote inaishia kwenye frame,unabaki na madeni yanakutazama!!!
Ukiona hivyo ujue wewe unaonekana mwenye afadharii, ndio maana ndugu wengi wana kukimbilia.Ni noma mbona Hali imekuwa ngumu iv napata invoice za ndugu wengi na mm cn maisha cjui nitumie yup nimuache yupi.
Dah sasa tutatoboa kweli kipato chenyewe kiduchu.Ukiona hivyo ujue wewe unaonekana mwenye afadharii, ndio maana ndugu wengi wana kukimbilia.
[emoji23][emoji23]Nashudia live haya mambo nipo kwenye taasisi ambayo wafanyabiashara inabidi watoe maelezo yenye ushahidi wa hali zao kibiashara ili tuweze kuwasaidia kama wadhamini wa shida wanazopitia,
itoshe kusema wafanyabiashara waliofanikiwa ni wachache, usikurupuke kutamani biashara kwa kuwaangalia hawa wachache ukadhani wengi wana hali hizo, utavamia mtumbwi wa vibwengo !!
kiuhlisia wafanya biashara wengi sana wanapitia magumu kwa stress za marejesho ya mikopo, wateja wachache, ushindani kuharibu faida, kushinda ofisini kila siku asubuhi hadi usiku, kushindwa kulipia frem, kufirisika, n.k,
ni tofauti na waajiriwa wengi hasa wa serikalini, hawafikii mafanikio ya wafanyabiashara wachache matajiri lakini angalau wana uhakika wa kipato.
Unaanza kujiuliza, "hivi ni mimi niliesema ajira ya kupokea mshahara kila mwezi na posho za kila wiki ni utumwa ?"
Vipi sehemu kama kariakoo, pale wateja si wako wengi hata kama ndio unaanza biasharaBiashara ya Tanzania kwa sasa jifunze kutokomea sehemu penye kuhitaji ili wakija wenzako we ushaweka mizizi. leo hii unaenda kufanya biashara mijini labda kuwa na mitaji na ujanja
Unakuta mtu anapitia stress lakini anaigiza million kwa mwezi lakini wewe upo comfortable kuingiza laki 3 after makatoNashudia live haya mambo nipo kwenye taasisi ambayo wafanyabiashara inabidi watoe maelezo yenye ushahidi wa hali zao kibiashara ili tuweze kuwasaidia kama wadhamini wa shida wanazopitia,
itoshe kusema wafanyabiashara waliofanikiwa ni wachache, usikurupuke kutamani biashara kwa kuwaangalia hawa wachache ukadhani wengi wana hali hizo, utavamia mtumbwi wa vibwengo !!
kiuhlisia wafanya biashara wengi sana wanapitia magumu kwa stress za marejesho ya mikopo, wateja wachache, ushindani kuharibu faida, kushinda ofisini kila siku asubuhi hadi usiku, kushindwa kulipia frem, kufirisika, n.k,
ni tofauti na waajiriwa wengi hasa wa serikalini, hawafikii mafanikio ya wafanyabiashara wachache matajiri lakini angalau wana uhakika wa kipato.
Unaanza kujiuliza, "hivi ni mimi niliesema ajira ya kupokea mshahara kila mwezi na posho za kila wiki ni utumwa ?"
mtaji wako unasemaje hapoVipi sehemu kama kariakoo, pale wateja si wako wengi hata kama ndio unaanza biashara
Maisha yote huwezi kuepuka utumwa, labda utaepuka utumwa wa aina fulani tu.Nashudia live haya mambo nipo kwenye taasisi ambayo wafanyabiashara inabidi watoe maelezo yenye ushahidi wa hali zao kibiashara ili tuweze kuwasaidia kama wadhamini wa shida wanazopitia,
itoshe kusema wafanyabiashara waliofanikiwa ni wachache, usikurupuke kutamani biashara kwa kuwaangalia hawa wachache ukadhani wengi wana hali hizo, utavamia mtumbwi wa vibwengo !!
kiuhlisia wafanya biashara wengi sana wanapitia magumu kwa stress za marejesho ya mikopo, wateja wachache, ushindani kuharibu faida, kushinda ofisini kila siku asubuhi hadi usiku, kushindwa kulipia frem, kufirisika, n.k,
ni tofauti na waajiriwa wengi hasa wa serikalini, hawafikii mafanikio ya wafanyabiashara wachache matajiri lakini angalau wana uhakika wa kipato.
Unaanza kujiuliza, "hivi ni mimi niliesema ajira ya kupokea mshahara kila mwezi na posho za kila wiki ni utumwa ?"
Ni kweli mtumishi anaweza akawa anapokea laki 3 baada ya makato na asiwe na stress, yena hapo unakuta kaajiriwa kwa cheti cha certificate (kipo chini ya diploma)Unakuta mtu anapitia stress lakini anaigiza million kwa mwezi lakini wewe upo comfortable kuingiza laki 3 after makato
Kwaiyo mtumishi hakopi?Ni kweli mtumishi anaweza akawa anapokea laki 3 baada ya makato, ni tofauti na Mtu kakopa milioni 100 biashara iningiza milioni 1 kwa mwezi, ukianza kutoa makato ya frem, mishahara, kodi, ulinzi, vibali, n.k. anabakiwa na negative / hasara
umeshasema mshahara baada ya makato.Kwaiyo mtumishi hakopi?
Million mbili baada ya kutoa huo ushenziumeshasema mshahara baada ya makato.
cha ajabu kwa mfanyabiashara umeandika kiupendeleo kwamba anaingiza milioni 1 huku ukisahau makato, hapo unakuta frem laki 5, mshhara na chakula cha msaidizi laki 3, anabaki na laki 2, ... na hapo hana marejesho ya mkopo
acha kuvutia bangi chooni, milioni 1 ukitoa makato inakuwaje 2Million mbili baada ya kutoa huo ushenzi
Maduka tunayaona ,na vitu tunavihutaji tatizo pesa hatuana ,tukipata Pesa tutakuja kununuaIla huu mwaka umeanza vibaya sana kama vile watu hawayaoni maduka vile
Dogo wewe ndo unavuta maviacha kuvutia bangi chooni, milioni 1 ukitoa makato inakuwaje 2