Mimi nadhani hii tahadhari ni kwa wafanyabiashara wapya,hapa namaanisha kwa mfano ukiona biashara ya kuku wa nyama inatoka sana usijidanganye kwenda kufungua banda la kufugia kuku kwa 7bu tu wanalipa kwa kipindi hicho,kumbuka kipindi hicho utapata vifaranga kwa bei ya juu sana, hii haimaanisha kuwa kwa mfanyabiashara wa bidhaa husika aachane na biashara hiyo,ni tahadhari tu kwa wale watakaotamani kuingia kichwakichwa kwenye biashara husika maana biashara ikiwa nzuri inamaanisha kwa mtu atakayetamani kuanza kufanya biashara kipindi hcho hata bidhaa za kuanzia atazipata kwa bei ghari sana,mwisho wa siku muda wa biashara yako kuchanganya utakuta ndo muda ambao hyo biashara imedoda and u knw what gonna happen! Kikubwa sio kuangalia bidhaa flani inatoka sana na kuingia kichwakichwa..ni tahadhari tu kwa wale watakaokuwa nje ya 'game' kutoingia kwenye game husika kwa tamaa,pia walioko ndani ya game hakika watameki sana kipindi hicho na hiyo kauli haiwa-affect kama wengi wanavydhani..