Salam Salam wapigania Uchumi.
Nina Toyota hiace(dungu) ipo Tanga mjini. Nafikiria niisajili ifanye moja Kati ya kazi (routes) zifuatazo;
1. Kufanya town route(daladala)
2. Kufanya routes za nje kidogo ya mji..at least umbali usiozidi 70km.
3. Kufanya routes za mbali zaidi ya 70km.
4. Nyinginezo.
Naamini wapo wazoefu wa haya mambo humu.
Nakaribisha maoni na ushauri.
Gari ni yangu mwenyewe.
KARIBUNI SANA
Nina Toyota hiace(dungu) ipo Tanga mjini. Nafikiria niisajili ifanye moja Kati ya kazi (routes) zifuatazo;
1. Kufanya town route(daladala)
2. Kufanya routes za nje kidogo ya mji..at least umbali usiozidi 70km.
3. Kufanya routes za mbali zaidi ya 70km.
4. Nyinginezo.
Naamini wapo wazoefu wa haya mambo humu.
Nakaribisha maoni na ushauri.
Gari ni yangu mwenyewe.
KARIBUNI SANA